Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbaroni wakidaiwa kusafirisha ‘unga’ kutumia maiti

>Polisi mkoani  Morogoro, wanawashikilia watu watatu kwa tuhuma za kusafirisha maiti inayosadikiwa kuwa na dawa za kulevya.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Mbaroni kwa kusafirisha maiti yenye mihadarati

POLISI mkoani Morogoro inawashikilia watu watatu kwa tuhuma za kusafirisha maiti akiwa na kete 17 tumboni kati ya 24 zinazodhaniwa kuwa ni dawa za kulevya wakitokea mjini Tunduma, mkoani Mbeya kwenda jijini Dar es Salaam.

 

9 years ago

Mwananchi

Kortini wakidaiwa kusafirisha kobe

Wakazi watano wa Zanzibar wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kujibu mashtaka ya kusafirisha kobe 201 aina ya India wenye thamani ya Sh30 milioni.

 

11 years ago

Habarileo

Kortini wakidaiwa kusafirisha kokeni za mil 250/-

WATU wawili wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam wakikabiliwa na mashitaka ya kusafirisha dawa za kulevya zenye thamani ya Sh milioni 240.9

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mbaroni wakidaiwa kumuua kikongwe

JESHI la Polisi mkoani Mbeya linawashikilia watu wanne kwa tuhuma za kumuua Edna Kajinga (70) mkazi wa Kijiji cha Katobe, wilayani Rungwe. Kamanda wa Polisi mkoani Mbeya, Ahmed Msangi, alisema...

 

10 years ago

BBCSwahili

Sidiria yatumika kusafirisha 'unga'

Mwanamke muuza dawa za kulevya anakabiliwa na adhabu ya kifungo baada ya kukutwa amesheheni dawa za kulevya katika sidiria yake

 

10 years ago

Mwananchi

Jinsi mbinu za kusafirisha ‘unga’ zinavyofichuliwa

>Wakati vyombo vya usalama duniani vikitumia kila njia kuhakikisha kuwa biashara ya dawa za kulevya inakomeshwa, wasafirishaji nao wamekuwa wakibuni mbinu mpya kila siku.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Viongozi Kilindi mbaroni wakidaiwa kushawishi mapigano

MWENYEKITI wa Serikali ya Kijiji cha Kibirashi, wilayani Kilindi, Yussuph Mwegango na viongozi wenzake wanne wa ngazi ya vitongoji, vijiji, kata na tarafa wanashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kushawishi...

 

10 years ago

Vijimambo

Mbaroni wakidaiwa kuuza mfupa wa albino milioni 3/-

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kagera, Henry Mwaibambe.
Jeshi la Polisi mkoani Kagera, limewatia mbaroni watu wawili kwa tuhuma za kukutwa na mifupa ya viungo vya mwanamke mwenye ulemavu wa ngozi

(albino), Zeulia Justus, aliyefariki dunia mwaka 2006 baada ya kujifungua mtoto katika kijiji cha Rushwa Kata Mshabago Tarafa ya Nshamba Wilaya ya

Muleba, mkoani Kagera.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kagera, Henry Mwaibambe, aliwataja watuhumiwa hao kuwa ni James Lutozi (66) na Emmanuel Karoli (50), wakazi wa...

 

10 years ago

Habarileo

4 mbaroni kwa kuua wazee 3 wakidaiwa kuzuia mvua

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, David MisimeWATU wanne akiwemo Mwenyekiti wa Kijiji cha Ihanda na wazee wawili wa kimila wa kijiji hicho wanashikiliwa na Jeshi la Polisi kuhusu kuuawa kwa wazee wawili mtu na mkewe.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani