Mbaroni wakidaiwa kusafirisha ‘unga’ kutumia maiti
>Polisi mkoani Morogoro, wanawashikilia watu watatu kwa tuhuma za kusafirisha maiti inayosadikiwa kuwa na dawa za kulevya.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo27 Dec
Mbaroni kwa kusafirisha maiti yenye mihadarati
POLISI mkoani Morogoro inawashikilia watu watatu kwa tuhuma za kusafirisha maiti akiwa na kete 17 tumboni kati ya 24 zinazodhaniwa kuwa ni dawa za kulevya wakitokea mjini Tunduma, mkoani Mbeya kwenda jijini Dar es Salaam.
9 years ago
Mwananchi02 Dec
Kortini wakidaiwa kusafirisha kobe
11 years ago
Habarileo03 Apr
Kortini wakidaiwa kusafirisha kokeni za mil 250/-
WATU wawili wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam wakikabiliwa na mashitaka ya kusafirisha dawa za kulevya zenye thamani ya Sh milioni 240.9
11 years ago
Tanzania Daima28 Jan
Mbaroni wakidaiwa kumuua kikongwe
JESHI la Polisi mkoani Mbeya linawashikilia watu wanne kwa tuhuma za kumuua Edna Kajinga (70) mkazi wa Kijiji cha Katobe, wilayani Rungwe. Kamanda wa Polisi mkoani Mbeya, Ahmed Msangi, alisema...
10 years ago
BBCSwahili23 Mar
Sidiria yatumika kusafirisha 'unga'
10 years ago
Mwananchi03 Jun
Jinsi mbinu za kusafirisha ‘unga’ zinavyofichuliwa
11 years ago
Tanzania Daima24 Apr
Viongozi Kilindi mbaroni wakidaiwa kushawishi mapigano
MWENYEKITI wa Serikali ya Kijiji cha Kibirashi, wilayani Kilindi, Yussuph Mwegango na viongozi wenzake wanne wa ngazi ya vitongoji, vijiji, kata na tarafa wanashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kushawishi...
10 years ago
Vijimambo25 Mar
Mbaroni wakidaiwa kuuza mfupa wa albino milioni 3/-
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Henry-25March2015.jpg)
Jeshi la Polisi mkoani Kagera, limewatia mbaroni watu wawili kwa tuhuma za kukutwa na mifupa ya viungo vya mwanamke mwenye ulemavu wa ngozi
(albino), Zeulia Justus, aliyefariki dunia mwaka 2006 baada ya kujifungua mtoto katika kijiji cha Rushwa Kata Mshabago Tarafa ya Nshamba Wilaya ya
Muleba, mkoani Kagera.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kagera, Henry Mwaibambe, aliwataja watuhumiwa hao kuwa ni James Lutozi (66) na Emmanuel Karoli (50), wakazi wa...
10 years ago
Habarileo04 Mar
4 mbaroni kwa kuua wazee 3 wakidaiwa kuzuia mvua
WATU wanne akiwemo Mwenyekiti wa Kijiji cha Ihanda na wazee wawili wa kimila wa kijiji hicho wanashikiliwa na Jeshi la Polisi kuhusu kuuawa kwa wazee wawili mtu na mkewe.