Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Viongozi Kilindi mbaroni wakidaiwa kushawishi mapigano

MWENYEKITI wa Serikali ya Kijiji cha Kibirashi, wilayani Kilindi, Yussuph Mwegango na viongozi wenzake wanne wa ngazi ya vitongoji, vijiji, kata na tarafa wanashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kushawishi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mbaroni wakidaiwa kumuua kikongwe

JESHI la Polisi mkoani Mbeya linawashikilia watu wanne kwa tuhuma za kumuua Edna Kajinga (70) mkazi wa Kijiji cha Katobe, wilayani Rungwe. Kamanda wa Polisi mkoani Mbeya, Ahmed Msangi, alisema...

 

11 years ago

Mwananchi

Mbaroni wakidaiwa kusafirisha ‘unga’ kutumia maiti

>Polisi mkoani  Morogoro, wanawashikilia watu watatu kwa tuhuma za kusafirisha maiti inayosadikiwa kuwa na dawa za kulevya.

 

10 years ago

Vijimambo

Mbaroni wakidaiwa kuuza mfupa wa albino milioni 3/-

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kagera, Henry Mwaibambe.
Jeshi la Polisi mkoani Kagera, limewatia mbaroni watu wawili kwa tuhuma za kukutwa na mifupa ya viungo vya mwanamke mwenye ulemavu wa ngozi

(albino), Zeulia Justus, aliyefariki dunia mwaka 2006 baada ya kujifungua mtoto katika kijiji cha Rushwa Kata Mshabago Tarafa ya Nshamba Wilaya ya

Muleba, mkoani Kagera.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kagera, Henry Mwaibambe, aliwataja watuhumiwa hao kuwa ni James Lutozi (66) na Emmanuel Karoli (50), wakazi wa...

 

10 years ago

Habarileo

4 mbaroni kwa kuua wazee 3 wakidaiwa kuzuia mvua

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, David MisimeWATU wanne akiwemo Mwenyekiti wa Kijiji cha Ihanda na wazee wawili wa kimila wa kijiji hicho wanashikiliwa na Jeshi la Polisi kuhusu kuuawa kwa wazee wawili mtu na mkewe.

 

9 years ago

StarTV

Msichana miaka 18 mbaroni kwa kushawishi watoto na kufanya Biashara Ya Ngono Singida

Msichana mmoja mwenye umri wa miaka 18 anashikiliwa na Polisi mkoani Singida kwa tuhuma za kuwashawishi watoto wa kike na kuwafanyisha biashara ya ngono kwa ujira wa kati ya shilingi 3,000 na 5,000 suala ambalo ni kinyume cha sheria, ukatili na ukiukaji wa misingi ya haki za binadamu.

Mtuhumiwa huyo Mastura Saidi mkazi wa Karakana Mjini Singida amekamatwa Jumatatu hii majira ya saa mbili usiku baada ya watoto watatu mwenye umri kati ya miaka 12 na 15 kukutwa ndani ya chumba chake wakiwa na...

 

11 years ago

Mwananchi

Wafugaji 30 mbaroni kwa mapigano Kiteto

Wakati bado hofu ya mapigano ya wakulima na wafugaji, ikiwa bado imetanda wilayani hapa, wafugaji 31, wamekamatwa kutokana na mapigano hayo yaliyosababisha vifo vya watu 10.

 

10 years ago

Mwananchi

Viongozi wa kijiji Bashnet mbaroni

Polisi mkoani Manyara wanawashikilia watu watatu wakazi wa Wilaya ya Babati, akiwemo Diwani wa Kata ya Bashnet (Chadema), kwa madai ya kufanya uchochezi na kufunga ofisi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Tawi la Bashneti ili itumike kama ofisi ya kijiji.

 

10 years ago

Mtanzania

Viongozi wa Chadema Dar mbaroni

Dk. Wilbrod Slaa

Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Wilbrod Slaa

Na Waandishi wetu

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam jana, liliwakamata  viongozi na wafuasi 11 wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mkoa wa Dar es Salaam.

Wafuasi hao walikamatwa jana asubuhi walipojaribu kufanya maandamano ya kuelekea ofisi  ya  Mkuu wa Mkoa, Said Meck Sadiki kwa nia ya kushinikiza kusitishwa kwa Bunge Maalum la Katiba linaloendelea na vikao vyake mjini Dodoma.

Wafuasi hao ambao walifika saa 12 asubuhi wakitokea...

 

10 years ago

Mtanzania

Kilindi yaagizwa kukomesha migogoro

RC GeitaNa Amina Omari, Kilindi

SERIKALI mkoani Tanga imeliagiza Jeshi la Polisi kwa kushirikiana na viongozi wa ngazi ya wilaya, kuhakikisha wanakomesha migogoro baina ya wakulima na wafugaji ambayo imechangia kuwepo kwa vitendo vya uvunjifu wa amani.

Agizo hilo limetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Tanga Magalula Said Magalua wakati wa hafla ya kumsimika kiongozi mkuu wa wafugaji, Lweigwanani iliyofanyika katika Kijiji cha Elerai kilichopo Kata ya Kibrashi wilayani humo.

Alisema endapo viongozi hao...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani