Coronavirus: Trump azuia safari za kutoka Ulaya kuingia nchini Marekani
Safari za ndege isipokuwa za kutoka Uingereza pekee zitazuiwa kwa kipindi cha siku 30 , rais ameeleza.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-0XN1gWrpeBM/XmnsKbjMXDI/AAAAAAAC0wY/ogq6TEmLMHsFGX-4UudcjK78bxe9QNbNgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
TRUMP AZUIA SAFARI KUTOKA ULAYA KWENDA MAREKANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-0XN1gWrpeBM/XmnsKbjMXDI/AAAAAAAC0wY/ogq6TEmLMHsFGX-4UudcjK78bxe9QNbNgCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Trump amesema, marufuku hayo yatatekelezwa kwa muda wa siku 30 zijazo kuazia siku ya Ijumaa lakini hatua hii haitaithiri Ireland na Uingereza, ambayo ina maambukizi 460.
"Ili kuzuia visa vipya maambukizi ya Covid-19 kuingia katika nchi yetu, nitazuia safari zote kutoka Ulaya hadi Marekani kwa siku 30 zijazo," amesema rais...
9 years ago
MichuziWaangalizi wa uchaguzi kutoka Umoja wa Ulaya (EU) kuingia nchini kufuatilia Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25
9 years ago
BBCSwahili08 Dec
Trump ataka Waislamu wazuiwe kuingia Marekani
5 years ago
BBCSwahili12 Mar
Coronavirus: Madai sita ya Trump kuhusu virusi vya corona Marekani yahakikiwa
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-9S3V-Rv7R90/VEJ2_t-r1nI/AAAAAAAGrdA/_yogDFqZLPM/s72-c/1.jpg)
Msanii Davido kutoka nchini Nigeria kutumbuiza jukwaa moja na msanii T.I kutoka nchini Marekani tamasha la Fiesta 2014.
![](http://3.bp.blogspot.com/-9S3V-Rv7R90/VEJ2_t-r1nI/AAAAAAAGrdA/_yogDFqZLPM/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-rIH0WR7WlvY/VEJ3RwGPZGI/AAAAAAAGrdI/URaG4XbjidI/s1600/3.jpg)
9 years ago
Mtanzania14 Dec
Mkuu wa wilaya azuia safari za madiwani
NA RAMADHAN HASSAN, KONGWA
MKUU wa Wilaya ya Kongwa mkoani Dodoma, Bitun Msangi, ametangaza kufuta ziara za mafunzo kwa madiwani wa halmashauri hiyo na badala yake amewataka waende kujifunza vijijini.
Onyo hilo amelitoa juzi, wilayani hapa alipokuwa akizungumza na wananchi wa vijiji vya Mseta, Manhweta na Mseta Bondeni Kata ya Chamkoroma, wakati akikabidhi vyeti na kombe kwa wananchi waliofanya vizuri katika utunzaji wa mazingira ikiwamo ujengaji wa vyoo vya kisasa .
Alisema badala ya...
5 years ago
BBCSwahili21 Apr
Virusi vya Corona: Uhamiaji wa nchini Marekani kusitishwa kutokana na janga la corona, asema Trump
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JXAUIgTHQRE/Xq_2ejQ7rLI/AAAAAAALpBU/wQEbcsaCJB06kXO-xON89cNnwxhmP72qwCLcBGAsYHQ/s72-c/RPC%252BMbeya.jpg)
KAMANDA MATEI,AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA STENDI, AZUIA SAFARI KWA BAADHI YA MABASI YA ABIRIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-JXAUIgTHQRE/Xq_2ejQ7rLI/AAAAAAALpBU/wQEbcsaCJB06kXO-xON89cNnwxhmP72qwCLcBGAsYHQ/s640/RPC%252BMbeya.jpg)
Katika ukaguzi huo alikuta Mabasi matatu ya abiria yenye namba za usajili...
10 years ago
Mtanzania22 Jan
JK azuia mawaziri kutoka nje ya Dar
Na Bakari Kimwanga, Dar es Salaam
MAWAZIRI wote wamezuiwa kusafiri kikazi nje ya Jiji la Dar es Salaam kutokana na kile kinachoelezwa ni maandalizi ya kukabidhi ofisi kwa mawaziri wapya ambao wanatarajiwa kutangazwa wakati wowote kuanzia sasa.
Taarifa hizo zimekuja siku moja tu tangu Ikulu kupitia kwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Salvatory Rweyemamu, kuwataka Watanzania kuwa na subira kwa kuwa Rais Jakaya Kikwete wakati wowote kuanzia sasa atatoa uamuzi dhidi ya tuhuma...