Trump ataka Waislamu wazuiwe kuingia Marekani
Mgombea mtarajiwa wa urais kupitia chama cha Republican nchini Marekani Donald Trump ametaka Waislamu kuzuiwa kuingia Marekani kwa muda.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili12 Mar
Coronavirus: Trump azuia safari za kutoka Ulaya kuingia nchini Marekani
Safari za ndege isipokuwa za kutoka Uingereza pekee zitazuiwa kwa kipindi cha siku 30 , rais ameeleza.
9 years ago
BBCSwahili05 Jan
Trump atumia wito kuhusu Waislamu tangazoni
Donald Trump ametumia wito wake wa kutaka Waislamu wazuiwe kuingia Marekani kwa muda kwenye tangazo lake la kwanza la kampeni runingani.
9 years ago
BBCSwahili01 Jan
Waislamu waliogoma wafutwa kazi Marekani
Waislamu 200 wanaofanya kazi katika kiwanda kimoja cha nyama Colorado, Marekani wamefutwa kazi baada yao kugoma.
9 years ago
BBCSwahili10 Dec
Trump: Sitaacha kuwania urais Marekani
Donald Trump amesema hatajiondoa kutoka kwenye kinyang’anyiro cha urais licha ya kushutumiwa vikali kwa matamshi yake kuhusu Waislamu.
10 years ago
BBCSwahili17 Jun
Donald Trump kuwania urais Marekani
Tajiri Donald Trump kwa mara nyengine tena ametangaza azma yake ya kuwania urais nchini Marekani mwaka 2016.
5 years ago
CCM Blog07 Jun
VIONGOZI WA MAREKANI WAKOSOA VIKALI UAMUZI WA TRUMP

5 years ago
BBCSwahili28 May
Marekani:Trump atishia kufunga mitandao ya kijamii
Rais wa Marekani Donald Trump atishia kudhibiti au kufunga kabisa mitandao ya kjamii nchini humo.
5 years ago
CCM Blog
TRUMP AZUIA SAFARI KUTOKA ULAYA KWENDA MAREKANI

Trump amesema, marufuku hayo yatatekelezwa kwa muda wa siku 30 zijazo kuazia siku ya Ijumaa lakini hatua hii haitaithiri Ireland na Uingereza, ambayo ina maambukizi 460.
"Ili kuzuia visa vipya maambukizi ya Covid-19 kuingia katika nchi yetu, nitazuia safari zote kutoka Ulaya hadi Marekani kwa siku 30 zijazo," amesema rais...
5 years ago
CCM Blog20 May
TRUMP ASEMA MAREKANI KUWA NA WAGONJWA WENGI NI HESHIMA

Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania