Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Trump ataka Waislamu wazuiwe kuingia Marekani

Mgombea mtarajiwa wa urais kupitia chama cha Republican nchini Marekani Donald Trump ametaka Waislamu kuzuiwa kuingia Marekani kwa muda.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Trump azuia safari za kutoka Ulaya kuingia nchini Marekani

Safari za ndege isipokuwa za kutoka Uingereza pekee zitazuiwa kwa kipindi cha siku 30 , rais ameeleza.

 

9 years ago

BBCSwahili

Trump atumia wito kuhusu Waislamu tangazoni

Donald Trump ametumia wito wake wa kutaka Waislamu wazuiwe kuingia Marekani kwa muda kwenye tangazo lake la kwanza la kampeni runingani.

 

9 years ago

BBCSwahili

Waislamu waliogoma wafutwa kazi Marekani

Waislamu 200 wanaofanya kazi katika kiwanda kimoja cha nyama Colorado, Marekani wamefutwa kazi baada yao kugoma.

 

9 years ago

BBCSwahili

Trump: Sitaacha kuwania urais Marekani

Donald Trump amesema hatajiondoa kutoka kwenye kinyang’anyiro cha urais licha ya kushutumiwa vikali kwa matamshi yake kuhusu Waislamu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Donald Trump kuwania urais Marekani

Tajiri Donald Trump kwa mara nyengine tena ametangaza azma yake ya kuwania urais nchini Marekani mwaka 2016.

 

5 years ago

CCM Blog

VIONGOZI WA MAREKANI WAKOSOA VIKALI UAMUZI WA TRUMP

Viongozi wa Marekani wakosoa vikali uamuzi wa Trump wa kutumia jeshi kukabiliana na waandamanajiViongozi wa Marekani wamekosoa vikali uamuzi wa Rais Donald Trump wa kutuma wanajeshi kwa lengo la kukabiliana na waandamanaji.Zaidi ya wanadiplomasia 280, majenerali na viongozi wa usalama wa taifa nchini Marekani Ijumaa walimtaka Trump kuacha kuwatumia vibaya wanajeshi kwa malengo ya kisiasa. Viongozi hao wa Marekani wametoa taarifa ya pamoja ya maandishi inayosema: "Utumiaji mbaya wa askari kwa malengo ya kisiasa, unadhoofisha muundo wa kidemokrasia wa Marekani." Taarifa hiyo pia imeeleza...

 

5 years ago

BBCSwahili

Marekani:Trump atishia kufunga mitandao ya kijamii

Rais wa Marekani Donald Trump atishia kudhibiti au kufunga kabisa mitandao ya kjamii nchini humo.

 

5 years ago

CCM Blog

TRUMP AZUIA SAFARI KUTOKA ULAYA KWENDA MAREKANI

  Rais wa Marekani Donald Trump ametangaza kusitishwa kwa safari za ndege kutoka nchini humo hadi barani Ulaya kama mbinu ya kukabiliana na maambukizi ya virusi vya Corona.
Trump amesema, marufuku hayo yatatekelezwa kwa muda wa siku 30 zijazo kuazia siku ya Ijumaa lakini hatua hii haitaithiri Ireland na Uingereza, ambayo ina maambukizi 460.
"Ili kuzuia visa vipya maambukizi ya Covid-19 kuingia katika nchi yetu, nitazuia safari zote kutoka Ulaya hadi Marekani kwa siku 30 zijazo," amesema rais...

 

5 years ago

CCM Blog

TRUMP ASEMA MAREKANI KUWA NA WAGONJWA WENGI NI HESHIMA

Trump at a cabinet meetingHaki miliki ya pichaGETTY IMAGESRais Donald Trump amesema ni '' ni heshima '' kuwa Marekani ina idadi kubwa ya maambukizi ya virusi vya corona duniani.''Ninalitazama suala hili kama heshima fulani, kama jambo zuri kwasababu inamaanisha kuwa vipimo vyetu viko vizuri,'' alieleza akiwa Ikulu ya Marekani.Marekani ina watu milioni 1.5 walioathiriwa na virusi vya corona na karibu vifo 92,000, kwa mujibu wa takwimu zinazokusanywa na Chuo Kikuu cha Johns Hopkins. Nchi inayoshika nafasi ya pili ni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani