VIONGOZI WA MAREKANI WAKOSOA VIKALI UAMUZI WA TRUMP
Viongozi wa Marekani wamekosoa vikali uamuzi wa Rais Donald Trump wa kutuma wanajeshi kwa lengo la kukabiliana na waandamanaji.Zaidi ya wanadiplomasia 280, majenerali na viongozi wa usalama wa taifa nchini Marekani Ijumaa walimtaka Trump kuacha kuwatumia vibaya wanajeshi kwa malengo ya kisiasa. Viongozi hao wa Marekani wametoa taarifa ya pamoja ya maandishi inayosema: "Utumiaji mbaya wa askari kwa malengo ya kisiasa, unadhoofisha muundo wa kidemokrasia wa Marekani." Taarifa hiyo pia imeeleza...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili24 Apr
Virusi vya Corona: Trump akosolewa vikali kwa kupendekeza kemikali kutumika kama matibabu
10 years ago
Michuzi
CCM YALAANI VIKALI VURUGU ZILIZOFANYWA NA WAFUASI WA CHADEMA NA CUF KWA VIONGOZI WAO WA SERIKALI ZA MITAA.

Kikao hicho cha Kamati Kuu kitatanguliwa na kikao cha Sekretarieti ya Halmashauri Kuu kitakachofanyika Januari 10, jijini Dar es Salaam.
Wakati huo huo CCM inalaani vikali vurugu zilizofanywa na wafuasi wa Chadema na CUF kwa viongozi wetu wa serikali za mitaa katika maeneo kadhaa nchini ikiwemo mikoa ya...
11 years ago
Mwananchi26 Feb
Uamuzi wa Museveni waitia kiwewe Marekani
9 years ago
BBCSwahili10 Dec
Trump: Sitaacha kuwania urais Marekani
10 years ago
BBCSwahili17 Jun
Donald Trump kuwania urais Marekani
9 years ago
BBCSwahili08 Dec
Trump ataka Waislamu wazuiwe kuingia Marekani
5 years ago
BBCSwahili28 May
Marekani:Trump atishia kufunga mitandao ya kijamii
11 years ago
Mwananchi14 May
Uamuzi wa viongozi Arusha kususiana hauna afya kwa umma
5 years ago
CCM Blog
TRUMP AZUIA SAFARI KUTOKA ULAYA KWENDA MAREKANI

Trump amesema, marufuku hayo yatatekelezwa kwa muda wa siku 30 zijazo kuazia siku ya Ijumaa lakini hatua hii haitaithiri Ireland na Uingereza, ambayo ina maambukizi 460.
"Ili kuzuia visa vipya maambukizi ya Covid-19 kuingia katika nchi yetu, nitazuia safari zote kutoka Ulaya hadi Marekani kwa siku 30 zijazo," amesema rais...