Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uamuzi wa Museveni waitia kiwewe Marekani

>Siku moja baada ya Rais Yoweri Museveni kusaini sheria inayotoa adhabu kali kwa wapenzi wa jinsi moja, Marekani imesema inaangalia upya uhusiano wake na nchi hiyo kama ilivyoainisha awali.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Marekani yamuonya Museveni

Rais Obama amesema uhusiano kati ya Uganda na Marekani utatatizika ikiwa rais Museveni atasaini sheria inayopinga ushoga Uganda.

 

5 years ago

CCM Blog

VIONGOZI WA MAREKANI WAKOSOA VIKALI UAMUZI WA TRUMP

Viongozi wa Marekani wakosoa vikali uamuzi wa Trump wa kutumia jeshi kukabiliana na waandamanajiViongozi wa Marekani wamekosoa vikali uamuzi wa Rais Donald Trump wa kutuma wanajeshi kwa lengo la kukabiliana na waandamanaji.Zaidi ya wanadiplomasia 280, majenerali na viongozi wa usalama wa taifa nchini Marekani Ijumaa walimtaka Trump kuacha kuwatumia vibaya wanajeshi kwa malengo ya kisiasa. Viongozi hao wa Marekani wametoa taarifa ya pamoja ya maandishi inayosema: "Utumiaji mbaya wa askari kwa malengo ya kisiasa, unadhoofisha muundo wa kidemokrasia wa Marekani." Taarifa hiyo pia imeeleza...

 

9 years ago

Bongo5

Video: Obama ampa Kanye West dondoo muhimu za kumsaidia kwenye uamuzi wake wa kuwania Urais wa Marekani

Barack Obama ameamua kumpa Kanye West dondoo muhimu anazopaswa kuzizingatia katika uamuzi wake wa kuwania urais wa Marekani. “Nina ushauri kwake,” Obama alisema kwenye hafla ya uchangishaji fedha uliohudhuriwa pia na rapper huyo ambaye alitangaza kuwania urais wa nchi hiyo mwaka 2020. “First of all, you’ve got to spend a lot of time dealing with […]

 

10 years ago

Mwananchi

Watunisia waitia presha Yanga

Presha imeanza kupanda kwa wachezaji wa Yanga baada ya kukiri kuwa wana kazi ngumu ya kuitoa Etoile du Sahel ya Tunisia katika raundi inayofuata ya Kombe la Shirikisho Afrika.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ubaguzi waitia kilabu mashakani Brazil

Mlinda lango mweusi aliyebaguliwa kirangi nchini Brazil akataa msamaha.

 

10 years ago

Raia Tanzania

‘Mkwanja’ waitia wazimu Stand United

BAADA ya kuingia mkataba wa miaka miwili na kampuni ya madini Acacia Mining, uongozi wa timu ya Stand United ya Shinyanga, umesema una fedha za kumsajili mchezaji yeyote ndani ya Afrika Mashariki na Kati.

Mkataba huo uliosainiwa juzi umeifanya timu hiyo iliyopanda daraja msimu wa 2013/014, kupokea kiasi cha bil.2.4, kutoka kampuni hiyo.

Akizungumza na Raia Tanzania jana jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi wa ufundi wa kikosi hicho, Muhibu Kanu alisema, wanashukuru kuona neema nzuri...

 

9 years ago

Mwananchi

Wezi wa umeme waitia hasara Tanesco Sh200 milioni

Shirika la Umeme nchini (Tanesco) Mkoa wa Arusha, limepata hasara ya zaidi ya Sh200 milioni kuanzia Januari hadi Desemba mwaka huu, kutokana na wizi wa kujiunganishia umeme unaofanywa na baadhi ya watu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

JK atia kiwewe

JOTO la nani ataondolewa kwenye Baraza la Mawaziri na nani atateuliwa limeanza kupanda miongoni mwa wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM). Tayari majina kadhaa yameshaanza kutajwa kurithi viti vya mawaziri...

 

11 years ago

Tanzania Daima

JK aingiwa kiwewe

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Kikwete, amewataka wanachama wake kuacha unyonge na uwoga katika chaguzi mbalimbali ili kukabiliana na baadhi ya vyama vya siasa ambavyo vinafikiria siasa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani