Watunisia waitia presha Yanga
Presha imeanza kupanda kwa wachezaji wa Yanga baada ya kukiri kuwa wana kazi ngumu ya kuitoa Etoile du Sahel ya Tunisia katika raundi inayofuata ya Kombe la Shirikisho Afrika.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania04 Dec
11 Yanga wamshusha presha Pluijm
NA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans van der Pluijm, amechekelea hatua ya kurejea kikosini kwa nyota wake waliokuwa kwenye timu za Taifa zilizoshiriki michuano ya Kombe la Chalenji nchini Ethiopia, ambapo amedai sasa ndoto ya kutetea taji la ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara inaweza kutekelezeka.
Kurejea kwa nyota hao kumesaidia kumshusha presha Pluijm, ambaye awali alidai kuwa michuano hiyo imemtibulia mipango yake kutokana na mikakati aliyojiwekea ya kuhakikisha anawapa...
11 years ago
Mwananchi18 Mar
Azam yaitia presha Yanga
11 years ago
Mwananchi20 Oct
Msola: Simba ilitulia, presha ilitawala Yanga
11 years ago
GPL
COUTINHO, TEGETE WAIPA PRESHA YANGA IKIIVAA AZAM
11 years ago
GPL
Watunisia waeleza umafia wa Okwi
11 years ago
Mwananchi26 Feb
Uamuzi wa Museveni waitia kiwewe Marekani
11 years ago
BBCSwahili06 Sep
Ubaguzi waitia kilabu mashakani Brazil
10 years ago
Raia Tanzania10 Jul
‘Mkwanja’ waitia wazimu Stand United
BAADA ya kuingia mkataba wa miaka miwili na kampuni ya madini Acacia Mining, uongozi wa timu ya Stand United ya Shinyanga, umesema una fedha za kumsajili mchezaji yeyote ndani ya Afrika Mashariki na Kati.
Mkataba huo uliosainiwa juzi umeifanya timu hiyo iliyopanda daraja msimu wa 2013/014, kupokea kiasi cha bil.2.4, kutoka kampuni hiyo.
Akizungumza na Raia Tanzania jana jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi wa ufundi wa kikosi hicho, Muhibu Kanu alisema, wanashukuru kuona neema nzuri...