Azam yaitia presha Yanga
>Kocha Mkuu wa Yanga, Hans van der Pluijm amesema hatma ya ubingwa kwa timu yake itajulikana kesho wakati watakapowakabili vinara wa Ligi Kuu, Azam kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jk1qJfh5Fa7d3SL1nhVtI8StGpwc84T3JByjfcjy-In3x6-Wr*v9UrukmMz2z21QnXViNzOaRqpXAukRv3AVzrOQqTgADeVL/coutinyo.jpg)
COUTINHO, TEGETE WAIPA PRESHA YANGA IKIIVAA AZAM
10 years ago
Mwananchi07 Apr
Watunisia waitia presha Yanga
9 years ago
Mtanzania04 Dec
11 Yanga wamshusha presha Pluijm
NA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans van der Pluijm, amechekelea hatua ya kurejea kikosini kwa nyota wake waliokuwa kwenye timu za Taifa zilizoshiriki michuano ya Kombe la Chalenji nchini Ethiopia, ambapo amedai sasa ndoto ya kutetea taji la ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara inaweza kutekelezeka.
Kurejea kwa nyota hao kumesaidia kumshusha presha Pluijm, ambaye awali alidai kuwa michuano hiyo imemtibulia mipango yake kutokana na mikakati aliyojiwekea ya kuhakikisha anawapa...
10 years ago
Mwananchi20 Oct
Msola: Simba ilitulia, presha ilitawala Yanga
9 years ago
Habarileo03 Nov
Ni Yanga na Azam
MBIO za kukalia kiti cha uongozi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, sasa zimebaki kuwa za timu mbili za Yanga na Azam FC, ambao wamekuwa wakibadilishana katika nafasi ya kwanza na pili.
10 years ago
TheCitizen29 Jul
Azam stand in Yanga’s way
9 years ago
Habarileo17 Oct
Yanga, Azam ni kifo
YANGA leo inaikaribisha Azam FC katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara utakaoamua nani akalie kiti cha uongozi wa ligi hiyo inayoshirikisha jumla ya timu 16.