Watunisia waeleza umafia wa Okwi
Mshambuliaji, Emmanuel Okwi. Na Mwandishi Wetu UONGOZI wa Etoile Du Sahel ya Tunisia kwa mara ya kwanza umetoa taarifa ambayo haikuwahi kutolewa kuhusiana na mshambuliaji, Emmanuel Okwi kwa kusema alitoroka ‘kimafia’ nchini Tunisia na kusema ilikuwa kama sinema. Etoile wamesema Okwi alizuiwa kwenda kuichezea timu ya taifa ya Uganda iliyokuwa inaivaa Liberia, lakini aliamua kutoroka bila ya taarifa yoyote kwa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi07 Apr
Watunisia waitia presha Yanga
11 years ago
Tanzania Daima08 Mar
CCM wafanya umafia
HARAKATI za Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuharibu kanuni za uendeshaji wa Bunge Maalumu la Katiba zimechukua sura mpya baada ya kuwepo taarifa za ‘kuchomeka’ majedwali bandia. Majedwali hayo yanatarajiwa kuwasilishwa...
11 years ago
GPLMKWASA AFANYA UMAFIA CAIRO
10 years ago
Mwananchi25 Apr
Chadema yaifanyia umafia CCM
11 years ago
Tanzania Daima28 May
Kijiwe chalaani umafia wa EWULA
BAADA ya kunyaka habari za kunyotoana roho kunakofanywa na wanaotuibia, Kijiwe kimekaa kutoa tamko. Msomi Mkatatamaa ndiye anayelianzisha baada ya kuingia. “Waheshimiwa mnaona na kushuhudia yale ambayo nimekuwa nikionya mara...
10 years ago
GPLMaximo atumia umafia kuimaliza Azam
9 years ago
GPLBOSI AMFANYIA UMAFIA HAUSIGELI WAKE!
10 years ago
Mwananchi03 Jun
Waeleza sababu za kufukuzwa kazi
11 years ago
Habarileo02 May
Bagamoyo waeleza wanavyonufaika na Tasaf
MTANDAO wa wabunge katika mashirika ya fedha ya kimataifa wametembelea wanavijiji wanaonufaika na mradi wa utoaji fedha kwa kaya masikini unaotekelezwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (Tasaf) wilayani Bagamoyo na kujiridhisha na utekelezaji.