Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kijiwe chalaani umafia wa EWULA

BAADA ya kunyaka habari za kunyotoana roho kunakofanywa na wanaotuibia, Kijiwe kimekaa kutoa tamko. Msomi Mkatatamaa ndiye anayelianzisha baada ya kuingia. “Waheshimiwa mnaona na kushuhudia yale ambayo nimekuwa nikionya mara...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Kijiwe chalaani uhuni mjengoni

BAADA ya mura Were-maa anayeitwa jaji na mwanasheria mkubwa kulikoroga huku wakubwa zake wakikenua, kijiwe kimeamua kujitoa kimasomaso na kulaani uhuni wake na wa wenzake, hasa wale wanaomkingia kifua au...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kijiwe chalaani milipuko Arusha

BAADA ya kupata taarifa za kuhuzunisha kuhusu shambulio jingine jijini Arusha, kijiwe licha ya kutoa salamu kwa wahanga, kinalaani ushenzi huu unaopaswa kukomeshwa badala ya kuzoeleka. Pamoja na maswali mengine...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kijiwe chalaani upogo wa vigogo

LEO Mgosi Machungi anaonekana ana usongo na jambo. Alivyoingia mwenye mawazo, si bure. Baada ya kujiridhisha kuwa ni wakati muafaka kusema linalomsimbu, anaangalia huku na kule kujihakikisha kuwa wote tuko...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kijiwe chalaani vitisho ufujaji na urushi

BAADA ya Joni Kombo kuchafua hewa kwa kutishia kwenda msituni kupigania upuuzi, kijiwe leo kimekaa kama kamati ya kulaani upuuzi huu. Pia kinalaani kauli mbili za Njaa Kaya za kudai...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Kijiwe chalaani uhuni dhidi ya Warioba

JAPO nguli Jose Shinda Warioba si mwanakijiwe wetu, huwa tunamzimii hasa kwa utaua na usafi wake ukiachia mbali ujasiri wake wa kupambana na ufisadi na ushenzi hasa uchakachuaji wa Katiba....

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kijiwe chaunda UKAWA na Akawo chalaani tuzo

BAADA ya matumaini ya kupatikana Katiba mpya kupotea kutokana na woga na ujinga wa baadhi ya wadau wasiotaka kuutema ulaji, Kijiwe kimeamua kuingilia kati kukwamua mchakato tena kwa bei nafuu na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

CCM wafanya umafia

HARAKATI za Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuharibu kanuni za uendeshaji wa Bunge Maalumu la Katiba zimechukua sura mpya baada ya kuwepo taarifa za ‘kuchomeka’ majedwali bandia. Majedwali hayo yanatarajiwa kuwasilishwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Chadema yaifanyia umafia CCM

Chama cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema) kimeweka mkakati utakaowafanya makada wake wavamie majimbo yanayoshikiliwa mapema na CCM, huku wakichelea kuingia kwenye majimbo yaliyo chini ya chama hicho kikuu cha upinzani.

 

11 years ago

GPL

MKWASA AFANYA UMAFIA CAIRO

Kocha msaidizi wa Yanga, Charles Boniface Mkwasa akiwaongoza wachezaji wake katika mazoezi. Na Mwandishi Wetu
KOCHA Msaidizi wa Yanga, Charles Boniface Mkwasa, amefanya umafia na kufanikiwa kuingia kuiona Al Ahly ikipambana na CS Sfaxien ya Tunisia kwenye Uwanja wa Jeshi jijini Cairo, Misri. Mechi hiyo ya jana ilikuwa ni ya Kombe la Super Cup na ilimkutanisha Al Ahly, bingwa wa Ligi ya Mabingwa na Sfaxien, bingwa wa Kombe la...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani