Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kijiwe chalaani vitisho ufujaji na urushi

BAADA ya Joni Kombo kuchafua hewa kwa kutishia kwenda msituni kupigania upuuzi, kijiwe leo kimekaa kama kamati ya kulaani upuuzi huu. Pia kinalaani kauli mbili za Njaa Kaya za kudai...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Kijiwe chalaani milipuko Arusha

BAADA ya kupata taarifa za kuhuzunisha kuhusu shambulio jingine jijini Arusha, kijiwe licha ya kutoa salamu kwa wahanga, kinalaani ushenzi huu unaopaswa kukomeshwa badala ya kuzoeleka. Pamoja na maswali mengine...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kijiwe chalaani uhuni mjengoni

BAADA ya mura Were-maa anayeitwa jaji na mwanasheria mkubwa kulikoroga huku wakubwa zake wakikenua, kijiwe kimeamua kujitoa kimasomaso na kulaani uhuni wake na wa wenzake, hasa wale wanaomkingia kifua au...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kijiwe chalaani umafia wa EWULA

BAADA ya kunyaka habari za kunyotoana roho kunakofanywa na wanaotuibia, Kijiwe kimekaa kutoa tamko. Msomi Mkatatamaa ndiye anayelianzisha baada ya kuingia. “Waheshimiwa mnaona na kushuhudia yale ambayo nimekuwa nikionya mara...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Kijiwe chalaani upogo wa vigogo

LEO Mgosi Machungi anaonekana ana usongo na jambo. Alivyoingia mwenye mawazo, si bure. Baada ya kujiridhisha kuwa ni wakati muafaka kusema linalomsimbu, anaangalia huku na kule kujihakikisha kuwa wote tuko...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Kijiwe chalaani uhuni dhidi ya Warioba

JAPO nguli Jose Shinda Warioba si mwanakijiwe wetu, huwa tunamzimii hasa kwa utaua na usafi wake ukiachia mbali ujasiri wake wa kupambana na ufisadi na ushenzi hasa uchakachuaji wa Katiba....

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kijiwe chaunda UKAWA na Akawo chalaani tuzo

BAADA ya matumaini ya kupatikana Katiba mpya kupotea kutokana na woga na ujinga wa baadhi ya wadau wasiotaka kuutema ulaji, Kijiwe kimeamua kuingilia kati kukwamua mchakato tena kwa bei nafuu na...

 

10 years ago

Mtanzania

Pengo aonya ufujaji wa Escrow

pg

 

Na Elias Msuya, Dar es Salaam
IKIWA imebaki miezi 10 kufikia Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015, Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo, amewataka Watanzania walio masikini kuungana ili kuwang’oa madarakani viongozi matajiri wasiojali maslahi ya taifa.
Alisema kwa muda mrefu Watanzania wanafikiria ulimwengu utabadilishwa na watu wenye mabilioni na walio na fedha za Escrow jambo ambalo si sahihi.
Kauli hiyo aliitoa jijini Dar es Salaam juzi alipokuwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tumechoka na vitisho hivi

MARA kwa mara watendaji na viongozi wa serikali wamekuwa na tabia ya kutoa vitisho na wakati mwingine kuvifuta na kuvifungia vyombo vya habari. Tabia hii kwa kiasi kikubwa imechangia kukifisha...

 

11 years ago

Mwananchi

Urusi yapuuza vitisho vya Marekani

Vita ya maneno kati ya Urusi na nchi za Magharibi inaendelea kuchukua sura mpya baada ya Urusi kusema wazi wazi kwamba haibabaishwi na vitisho vya Marekani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani