Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pengo aonya ufujaji wa Escrow

pg

 

Na Elias Msuya, Dar es Salaam
IKIWA imebaki miezi 10 kufikia Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015, Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo, amewataka Watanzania walio masikini kuungana ili kuwang’oa madarakani viongozi matajiri wasiojali maslahi ya taifa.
Alisema kwa muda mrefu Watanzania wanafikiria ulimwengu utabadilishwa na watu wenye mabilioni na walio na fedha za Escrow jambo ambalo si sahihi.
Kauli hiyo aliitoa jijini Dar es Salaam juzi alipokuwa...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Pengo aonya kuhusu urais

Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo, ambaye alizua kizaazaa bada ya kutofautiana na maaskofu wenzake kuhusu Kura ya Maoni, jana alizungumzia suala la urais, akivitaka vyama vya siasa kuwaengua makada wake wanaotumia fedha kusaka urais.

 

11 years ago

Habarileo

Pengo aonya Bunge la Katiba

Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali PengoASKOFU Mkuu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo kwa mara ya kwanza amezungumzia Bunge Maalum la Katiba na kuwaonya Wajumbe wa Bunge hilo kutowagawa Watanzania wakati wa mchakato wa kupatikana kwa Katiba mpya.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kijiwe chalaani vitisho ufujaji na urushi

BAADA ya Joni Kombo kuchafua hewa kwa kutishia kwenda msituni kupigania upuuzi, kijiwe leo kimekaa kama kamati ya kulaani upuuzi huu. Pia kinalaani kauli mbili za Njaa Kaya za kudai...

 

10 years ago

Seeking Leaders

Pengo: Be wary of self


Pengo: Be wary of self-seeking leaders
IPPmedia
The Archbishop of the Dar es Salaam Diocese of the Catholic Church, Polycarp Cardinal Pengo, has cautioned Tanzanians against electing irresponsible leaders who care only about realising their dreams instead of those of their motherland. He said ...

 

10 years ago

IPPmedia

Polycarp Cardinal Pengo


IPPmedia
Polycarp Cardinal Pengo
IPPmedia
Polycarp Cardinal Pengo, Archbishop of the Dar es Salaam Diocese of the Catholic Church, yesterday defended his recent advice to the church to let the public decide freely whether to participate in the planned referendum for the Proposed Constitution.
Pengo affirms stand on Katiba voteDaily News

all 3

 

11 years ago

Daily News

Pengo cautions against divisions


Daily News
Pengo cautions against divisions
Daily News
MEMBERS of the Constituent Assembly have been cautioned against dividing the public whilst debating on the draft constitution. Speaking to journalists after a mass at Magomeni Ugandan Martyrs Catholic Church in Dar es Salaam on Saturday, the ...

 

10 years ago

TheCitizen

I’m thankful for my recovery: Pengo

The Catholic Archbishop of the Archdiocese of Dar es Salaam, Polycarp Cardinal Pengo, yesterday said he was recovering from his sickness and appealed to believers and people of good will to continue praying for him so that he recovers fully.

 

11 years ago

GPL

AFYA YA PENGO TETE

Mwadhama Polycarp Kadinali Pengo,  HALI ya kiafya ya Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kadinali Pengo, 70, aliyeadhimisha miaka 30 ya uaskofu hivi karibuni ni tete. Ilielezwa na baadhi ya watu walio karibu na kiongozi huyo kuwa kutokana na hali yake kuwa tete ilisababisha siku ya maadhimisho hayo Jumatano iliyopita ashindwe kushiriki katika maandamano ambayo yalishirikisha maaskofu...

 

10 years ago

Mwananchi

Pengo atofautiana na maaskofu

Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo amesema waumini hawana budi kusoma vizuri na kuelewa Katiba Inayopendekezwa ili wakati ukifika, wafanye uamuzi kwa hiari na utashi wao wakati wa kupiga Kura ya Maoni.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani