Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Manji azuia mamilioni ya Okwi

Mshambuliaji wa Yanga, Emmanuel Okwi. Na Lucy Mgina
MWENYEKITI wa Yanga, Yusuf Manji, ameonyesha ukomavu katika uongozi wa soka baada ya kukataa wachezaji wake kuuzwa katika kipindi timu yao inapambana kutetea ubingwa wa Tanzania Bara. Manji amekataa kuuzwa kwa Emmanuel Okwi kwa Klabu ya Al Ain ya Abu Dhabi ambayo ilikuwa tayari kutoa kitita cha dola 500,000 (Sh milioni 818) kwa kuwa si wakati mwafaka.… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

Manji amdai Okwi mamilioni

Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji(kulia). Wilbert Molandi na Sweetbert Lukonge
MWENYEKITI wa Yanga, Yusuf Manji jana Jumapili amezungumza kwa mara ya kwanza kila kitu kuhusu usajili wa kiungo wake mshambuliaji, Mganda, Emmanuel Okwi. Katika mazungumzo yake jana, Manji aliweka bayana kuwa, klabu hiyo inamdai Okwi mamilioni ya fedha kutokana na kushindwa kuitumikia timu hiyo kwa wakati tangu aliposajiliwa katika usajili wa...

 

11 years ago

GPL

Okwi ampigia magoti Manji

Kiungo mshambuliaji wa Yanga, Mganda, Emmanuel Okwi. Na Wilbert Molandi
IMEFAHAMIKA kuwa, kiungo mshambuliaji wa Yanga, Mganda, Emmanuel Okwi, ameuomba msamaha uongozi wa timu hiyo na kuomba mwenyewe kurejea Jangwani. Hiyo ni baada ya kusikia taarifa za kupunguzwa kwa mkataba wake kutokea miaka miwili hadi mwaka mmoja kutokana na kushindwa kutimiza wajibu.… ...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Manji amgeuzia kibao Okwi

SAKATA la Mshambuliaji wa Kimataifa Emmanuel Okwi kuikacha timu yake ya Yanga aliyojifunga nayo mkaraba wa miaka miwili na kurejea Simba, limechukua sura mpya baada ya Yanga kumtaka awalipe fidia...

 

10 years ago

GPL

SUALA LA OKWI KUSAINI SIMBA, MANJI ACHARUKA

Manji akizungumza na wanahabari (hawapo pichani). Wanahabari wakisikiliza kwa makini.…

 

10 years ago

GPL

Okwi aogelea mamilioni Simba

Mshambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi. Wilbert Molandi na Sweetbert Lukonge,Dar es Salaam
KILA mwenye nacho huongezewa, kwani Simba imemuongezea mshahara mshambuliaji wake Emmanuel Okwi ambaye sasa analipwa dola 4,000 kwa mwezi ambazo ni sawa na Sh milioni 7.Kabla ya ongezeko la mshahara huo, Okwi raia wa Uganda alikuwa analipwa mshahara wa dola 3,000 (Sh milioni 5.3). Awali Okwi alikuwa akilipwa kiasi hicho cha fedha baada ya...

 

11 years ago

GPL

Rage amkabidhi... Aveva mamilioni ya Okwi

Omary Mdose na Nassor Gallu
MWENYEKITI aliyemaliza muda wake katika Klabu ya Simba, Ismail Aden Rage, jana alimkabidhi ofisi rasmi rais mpya wa timu hiyo, Evans Aveva na amemtaka afuatilie malipo ya mauzo ya aliyekuwa mchezaji wa timu hiyo, Emmanuel Okwi kwenda Etoile du Sahel ya Tunisia. Mwenyekiti aliyemaliza muda wake katika klabu ya Simba, Ismail Aden Rage Rage alimkabidhi rasmi Aveva mikataba ya klabu hiyo… ...

 

10 years ago

Habarileo

Azuia ‘ambulance’ zisitumike

MKUU wa Wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa, Williman Ndile, amezuia magari mawili ya wagonjwa yasitumike kwa sababu hayana ubora.

 

10 years ago

Habarileo

RC azuia majeshi kutumika kiholela

MKUU wa Mkoa wa Kigoma, Kanali mstaafu Issa Machibya amezuia kutumika kiholela kwa vikosi vya majeshi ya ulinzi na usalama mkoani humo katika shughuli mbalimbali za kijamii hadi atakapotoa ruhusa ya kutumika kwao kutokana kutumika vibaya kwa majeshi hayo.

 

10 years ago

Habarileo

Kikwete azuia ‘ulaji’ trafiki

RAIS Jakaya Kikwete ameliagiza Baraza la Taifa la Usalama Barabarani, kuanzisha mara moja mfumo wa ulipaji faini kwa njia ya Benki na mitandao ya simu za mkononi ili kupunguza ushawishi wa vitendo vya rushwa kwa askari wa kikosi cha usalama barabarani nchini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani