Rage amkabidhi... Aveva mamilioni ya Okwi
Omary Mdose na Nassor Gallu MWENYEKITI aliyemaliza muda wake katika Klabu ya Simba, Ismail Aden Rage, jana alimkabidhi ofisi rasmi rais mpya wa timu hiyo, Evans Aveva na amemtaka afuatilie malipo ya mauzo ya aliyekuwa mchezaji wa timu hiyo, Emmanuel Okwi kwenda Etoile du Sahel ya Tunisia. Mwenyekiti aliyemaliza muda wake katika klabu ya Simba, Ismail Aden Rage Rage alimkabidhi rasmi Aveva mikataba ya klabu hiyo… ...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLRage ataja waliomuuza Okwi Yanga
11 years ago
GPLFIFA YAMTUMIA RAGE BARUA YA OKWI
10 years ago
GPLOkwi aogelea mamilioni Simba
11 years ago
GPLManji azuia mamilioni ya Okwi
11 years ago
GPLManji amdai Okwi mamilioni
9 years ago
Habarileo02 Dec
Pinda amkabidhi ofisi Majaliwa
WAZIRI Mkuu mstaafu Mizengo Pinda amekabidhi ofisi kwa Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na kumtaka aimarishe ufuatiliaji wa maelekezo anayoyatoa kwenda ngazi za chini.
9 years ago
Mwananchi02 Dec
Pinda amkabidhi mikoba Majaliwa
9 years ago
Habarileo11 Dec
Magufuli amkabidhi Nape wanamichezo, wasanii
RAIS John Magufuli amemteua Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye kuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Wasanii na Michezo. Wakati wa kampeni zake za urais, Rais Magufuli mara kadhaa alikaririwa akisema atakuwa mstari wa mbele kuwasaidia wanamichezo na wasanii katika masuala mbalimbali wakati wa utawala wake.