Azuia ‘ambulance’ zisitumike
MKUU wa Wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa, Williman Ndile, amezuia magari mawili ya wagonjwa yasitumike kwa sababu hayana ubora.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi21 Jul
Rasilimali za umma zisitumike kupiga siasa
>Kwa muda mrefu sasa tumekuwa na utamaduni wa wanasiasa na watumishi wa Serikali kutumia rasilimali za umma katika masuala yasiyohusiana na shughuli za umma. Utamaduni huo ambao umeota mizizi sasa unaonekana kama jambo la kawaida kutokana na mamlaka zilizopewa dhima ya kusimamia rasilimali hizo pia kuwa sehemu ya tatizo.
9 years ago
BBC13 Oct
11 years ago
Mwananchi30 Dec
‘Ambulance’ nusura ichomwe moto
>Wananchi waliotaka kujichukulia sheria mikononi, nusura walichome moto gari la wagonjwa lilitolewa msaada Kituo cha Afya Mtowisa wilayani Sumbawanga mkoani Rukwa kutokana na madai ya kuchangia kifo cha mwalimu mmoja aliyekosa msaada wa haraka wakati wa kujifungua.
10 years ago
Daily News24 Sep
Coast RC against paying for ambulance fuel
Daily News
Daily News
COAST Regional Commissioner, Ms Mwantumu Mahiza has called on the public to stop paying for fuel for ambulances when their relatives are referred to Tumbi hospital or any district hospital. Ms Mahiza gave the directive here on Monday evening after ...
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/80270000/jpg/_80270425_presidentkenyatta1.jpg)
Kenya launches air ambulance service
Kenya's President Uhuru Kenyatta launches a national air ambulance service to ensure the quick evacuation of security forces wounded in battle.
10 years ago
AllAfrica.Com03 Sep
Investor Donates Ambulance to Chwaka Constituency
AllAfrica.com
Zanzibar — PEOPLE in the coastal villages of Michamvi, Jendele, Urowa and Ndijani in Chwaka constituency, Unguja South region, have been provided with an ambulance after waiting for many years thanks to an investor in the area. Mr Issa Haji Ussi, ...
10 years ago
Island Echo07 Feb
AIR AMBULANCE KILIMANJARO CAMPAIGN RAISES OVER £153000
Island Echo
Island Echo
airambulanceredyellowinterim. A team of 37 heroic supporters will today (Saturday) embark on a six day challenge to climb Mount Kilimanjaro, Tanzania, in order to raise vital funds for Hampshire and Isle of Wight Air Ambulance (HIOWAA). The team have ...
5 years ago
Michuzi21 May
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-3462QO1WdRU/VCbh88FrF-I/AAAAAAAGmN4/j7aeNpvhg7M/s72-c/unnamed%2B(15).jpg)
WIZARA YA AFYA ZANZIBAR YAPOKEA MSAADA WA AMBULANCE TOKA (UNFPA)
Na RAMADHANI ALI /HABARI MAELEZO ZANZIBAR
Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Idadi ya watu (UNFPA) limekabidhi msaada wa magari manne ya Ambulance kwa Wizara ya Afya ya Zanzibar ambayo yatatumika katika Hospitali nne visiwani hapa.
Mwakilishi wa UNFPA Tanzania Dkt. Natalia Kanem alimkabidhi Waziri wa Afya Rashid Seif Suleiman magari hayo katika sherehe fupi zilizofanyika Wizarani Mnazi mmoja.
Dkt. Natalia alitaka magari hayo yatumike kwa uangalifu ili kufikia malengo ya...
Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Idadi ya watu (UNFPA) limekabidhi msaada wa magari manne ya Ambulance kwa Wizara ya Afya ya Zanzibar ambayo yatatumika katika Hospitali nne visiwani hapa.
Mwakilishi wa UNFPA Tanzania Dkt. Natalia Kanem alimkabidhi Waziri wa Afya Rashid Seif Suleiman magari hayo katika sherehe fupi zilizofanyika Wizarani Mnazi mmoja.
Dkt. Natalia alitaka magari hayo yatumike kwa uangalifu ili kufikia malengo ya...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania