Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rasilimali za umma zisitumike kupiga siasa

>Kwa muda mrefu sasa tumekuwa na utamaduni wa wanasiasa na watumishi wa Serikali kutumia rasilimali za umma katika masuala yasiyohusiana na shughuli za umma. Utamaduni huo ambao umeota mizizi sasa unaonekana kama jambo la kawaida kutokana na mamlaka zilizopewa dhima ya kusimamia rasilimali hizo pia kuwa sehemu ya tatizo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Ukosefu rasilimali kikwazo kwa usimamizi wa vyama vya siasa

Baadhi ya taasisi zinazosaidia kukuza demokrasia na kudhibiti matendo maovu katika kipindi hiki cha kuelekea kwenye Uchaguzi Mkuu, zipo hoi kirasilimali.

 

5 years ago

Michuzi

SERIKALI YAPITIA RASIMU YA MUONGOZO WA KUANDAA MPANGO WA RASILIMALI WATU KATIKA UTUMISHI WA UMMA

Mkurugenzi wa Uendelezaji Sera Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Bi. Agnes Meena akifungua kikao kazi cha wadau cha kupitia Rasimu ya Mwongozo wa kuandaa Mpango wa Rasilimaliwatu katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Dkt. Laurean Ndumbaro katika ukumbi wa Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa Dodoma.
Mkurugenzi Msaidizi wa Mipango ya Rasilimaliwatu, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala...

 

5 years ago

Michuzi

VIONGOZI WA UMMA SASA KUJAZA TAARIFA ZAO ZA RASILIMALI NA MADENI KWA NJIA YA MTANDAO

Charles James, Michuzi TVKUTOKANA na mabadiliko ya Sayansi na Teknolojia kutoka analojia kuelekea digitali, Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma imeanza kutumia mfumo wa ujazaji matamko ya rasilimali na madeni kwa njia ya mtandao.
Mfumo huo umeanzishwa ili kutekeleza sera ya serikali mtandao (e-goverment) ambayo serikali imeelekeza Wizara, Idara, Taasisi na Mashirika yote ya Umma kutumia mfumo wa tehama katika kurahisisha mawasiliano na utendaji kazi.
Hayo yameelezwa na Kamishna wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Waziri Nyalandu atangaza nia na kuchukua fomu, asema uwekezaji kwenye rasilimali umma ni muhimu

IMG_0713

Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Lazaro Nyalandu na mkewe Bi.Faraja Nyalandu wakiingia uwanja wa Namfua Mjini Singida kabla ya kuhutubia wananchi kwa kutangaza nia ya kugombea Urais.

IMG_0750

IMG_0756

Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Lazaro Nyalandu akiteta jambo na Mwenyekiti wa CCM Wilaya wa Singida, Barnabas Hanje kabla kutangaza nia ya kugombea urais wa Tanzania kwenye mkutano uliofanyika uwanja wa Namfua Mjini Singida.

IMG_0817

Bi. Faraja Nyalandu akiongea na wananchi kabla ya hotuba ya mumewe Mhe. Lazaro...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watumishi wa umma epukeni siasa kazini

MIONGONI mwa habari zinazogonga vichwa vya habari kwa takriban mwezi mmoja sasa, ni kuhusu makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutangaza nia ya kuwania urais katika uchaguzi mkuu unaotarajia kufanyika...

 

10 years ago

Habarileo

Azuia ‘ambulance’ zisitumike

MKUU wa Wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa, Williman Ndile, amezuia magari mawili ya wagonjwa yasitumike kwa sababu hayana ubora.

 

10 years ago

Mwananchi

Wabunge waache siasa mijadala yenye masilahi kwa umma

Januari 29, mwaka huu, Bunge la Jamhuri ya Muungano lilijadili hoja ya dharura iliyowasilishwa na Mbunge wa kuteuliwa James Mbatia, kuhusu tukio la askari polisi kumpiga Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba.

 

10 years ago

Dewji Blog

Msajili wa vyama vya siasa kutumia redio jamii kuelimisha umma

DSC_0009

Meneja wa Kituo cha Habari na Mawasiliano cha Redio Sengerema mkoani Mwanza  Bw. Felician Ncheye, akiutambulisha ujumbe wa wageni kutoka ofisi ya msajili wa vyama vya siasa nchini kwa Wenyeviti wa bodi na mameneja wa redio za jamii nchini waliohudhuria warsha ya siku tano ya kuwajengea uwezo katika kuboresha masoko kwenye vituo vyao iliyofadhiliwa na shirika la maendeleo la Sweden (SIDA) na kuratibiwa na UNESCO.

Na Mwandishi Wetu, Sengerema

OFISI ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini kupitia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani