Rasilimali za umma zisitumike kupiga siasa
>Kwa muda mrefu sasa tumekuwa na utamaduni wa wanasiasa na watumishi wa Serikali kutumia rasilimali za umma katika masuala yasiyohusiana na shughuli za umma. Utamaduni huo ambao umeota mizizi sasa unaonekana kama jambo la kawaida kutokana na mamlaka zilizopewa dhima ya kusimamia rasilimali hizo pia kuwa sehemu ya tatizo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi10 Jun
Ukosefu rasilimali kikwazo kwa usimamizi wa vyama vya siasa
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-OJaNpSvkHVU/XmefzdfTmpI/AAAAAAALic8/O5t1lKOORFAjztCgwCKChGFtsB40xKNZQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_1AA-768x512.jpg)
SERIKALI YAPITIA RASIMU YA MUONGOZO WA KUANDAA MPANGO WA RASILIMALI WATU KATIKA UTUMISHI WA UMMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-OJaNpSvkHVU/XmefzdfTmpI/AAAAAAALic8/O5t1lKOORFAjztCgwCKChGFtsB40xKNZQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_1AA-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/IMG_2AAA-1024x682.jpg)
Mkurugenzi Msaidizi wa Mipango ya Rasilimaliwatu, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-rjKe0LUXxrw/Xo2Vtl3yHcI/AAAAAAALmeM/-tiygPht9vc6OwHHRWTpzv2uqqP-1qKKwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-07%2Bat%2B6.27.37%2BPM.jpeg)
VIONGOZI WA UMMA SASA KUJAZA TAARIFA ZAO ZA RASILIMALI NA MADENI KWA NJIA YA MTANDAO
Mfumo huo umeanzishwa ili kutekeleza sera ya serikali mtandao (e-goverment) ambayo serikali imeelekeza Wizara, Idara, Taasisi na Mashirika yote ya Umma kutumia mfumo wa tehama katika kurahisisha mawasiliano na utendaji kazi.
Hayo yameelezwa na Kamishna wa...
10 years ago
Dewji Blog09 Jun
Waziri Nyalandu atangaza nia na kuchukua fomu, asema uwekezaji kwenye rasilimali umma ni muhimu
Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Lazaro Nyalandu na mkewe Bi.Faraja Nyalandu wakiingia uwanja wa Namfua Mjini Singida kabla ya kuhutubia wananchi kwa kutangaza nia ya kugombea Urais.
Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Lazaro Nyalandu akiteta jambo na Mwenyekiti wa CCM Wilaya wa Singida, Barnabas Hanje kabla kutangaza nia ya kugombea urais wa Tanzania kwenye mkutano uliofanyika uwanja wa Namfua Mjini Singida.
Bi. Faraja Nyalandu akiongea na wananchi kabla ya hotuba ya mumewe Mhe. Lazaro...
11 years ago
Tanzania Daima22 Jul
Watumishi wa umma epukeni siasa kazini
MIONGONI mwa habari zinazogonga vichwa vya habari kwa takriban mwezi mmoja sasa, ni kuhusu makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutangaza nia ya kuwania urais katika uchaguzi mkuu unaotarajia kufanyika...
10 years ago
Habarileo30 Jul
Azuia ‘ambulance’ zisitumike
MKUU wa Wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa, Williman Ndile, amezuia magari mawili ya wagonjwa yasitumike kwa sababu hayana ubora.
10 years ago
Mwananchi01 Feb
Wabunge waache siasa mijadala yenye masilahi kwa umma
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-lwxfeD2hI7U/VdXmC_QsmuI/AAAAAAAHyow/aD9K5g2NN-s/s72-c/003.jpg)
10 years ago
Dewji Blog29 Sep
Msajili wa vyama vya siasa kutumia redio jamii kuelimisha umma
Meneja wa Kituo cha Habari na Mawasiliano cha Redio Sengerema mkoani Mwanza Bw. Felician Ncheye, akiutambulisha ujumbe wa wageni kutoka ofisi ya msajili wa vyama vya siasa nchini kwa Wenyeviti wa bodi na mameneja wa redio za jamii nchini waliohudhuria warsha ya siku tano ya kuwajengea uwezo katika kuboresha masoko kwenye vituo vyao iliyofadhiliwa na shirika la maendeleo la Sweden (SIDA) na kuratibiwa na UNESCO.
Na Mwandishi Wetu, Sengerema
OFISI ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini kupitia...