Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Ambulance’ nusura ichomwe moto

>Wananchi waliotaka kujichukulia sheria mikononi, nusura walichome moto gari la wagonjwa lilitolewa msaada Kituo cha Afya Mtowisa wilayani Sumbawanga mkoani Rukwa kutokana na madai ya kuchangia kifo cha mwalimu mmoja aliyekosa msaada wa haraka wakati wa kujifungua.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Azuia ‘ambulance’ zisitumike

MKUU wa Wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa, Williman Ndile, amezuia magari mawili ya wagonjwa yasitumike kwa sababu hayana ubora.

 

10 years ago

Daily News

Coast RC against paying for ambulance fuel


Daily News
Coast RC against paying for ambulance fuel
Daily News
COAST Regional Commissioner, Ms Mwantumu Mahiza has called on the public to stop paying for fuel for ambulances when their relatives are referred to Tumbi hospital or any district hospital. Ms Mahiza gave the directive here on Monday evening after ...

 

9 years ago

BBC

Kenya’s pioneering ambulance driver

Kenya’s pioneering ambulance driver – who braves al-Shabab

 

10 years ago

BBC

Kenya launches air ambulance service

Kenya's President Uhuru Kenyatta launches a national air ambulance service to ensure the quick evacuation of security forces wounded in battle.

 

10 years ago

AllAfrica.Com

Investor Donates Ambulance to Chwaka Constituency


Investor Donates Ambulance to Chwaka Constituency
AllAfrica.com
Zanzibar — PEOPLE in the coastal villages of Michamvi, Jendele, Urowa and Ndijani in Chwaka constituency, Unguja South region, have been provided with an ambulance after waiting for many years thanks to an investor in the area. Mr Issa Haji Ussi, ...

 

10 years ago

Island Echo

AIR AMBULANCE KILIMANJARO CAMPAIGN RAISES OVER £153000


Island Echo
AIR AMBULANCE KILIMANJARO CAMPAIGN RAISES OVER £153000
Island Echo
airambulanceredyellowinterim. A team of 37 heroic supporters will today (Saturday) embark on a six day challenge to climb Mount Kilimanjaro, Tanzania, in order to raise vital funds for Hampshire and Isle of Wight Air Ambulance (HIOWAA). The team have ...

 

10 years ago

Vijimambo

RIDHIWANI KIKWETE AKABIDHI AMBULANCE KITUO CHA AFYA CHALINZE

Mbunge wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete (katikati) akikabidhi gari jipya la kubebea wagonjwa (Ambulance), kwa Mganga Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo,Dk. Mastidia Rutaihwa kwa ajili ya Kituo cha Afya cha Chalinze, katika mkutano wa hadhara uliofanyika mjini Chalinze jioni hii. Wanaoshuhudia kutoka kulia ni Mganga Mkuu wa kituo hicho, Dk. Bamba Victor na Diwani wa Kata ya Bwilingu, Nasa Karama. Muumini wa Dini ya Kikiristo, Heema Said akitoa neno la shukrani kwa Mbunge wa Jimbo la...

 

10 years ago

Michuzi

WIZARA YA AFYA ZANZIBAR YAPOKEA MSAADA WA AMBULANCE TOKA (UNFPA)

Na RAMADHANI ALI /HABARI MAELEZO ZANZIBAR
Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Idadi ya watu (UNFPA) limekabidhi msaada wa magari manne ya Ambulance kwa Wizara ya Afya ya Zanzibar ambayo yatatumika katika Hospitali nne visiwani hapa.
Mwakilishi wa UNFPA Tanzania Dkt. Natalia Kanem alimkabidhi Waziri wa Afya Rashid Seif Suleiman magari hayo katika sherehe fupi zilizofanyika Wizarani Mnazi mmoja.
Dkt. Natalia alitaka magari hayo yatumike kwa uangalifu ili kufikia malengo ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani