Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BOTI YA KUBEBEA WAGONJWA (AMBULANCE) YALETA FARAJA UKEREWE


Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Ewura yaleta faraja kwa watumiaji, bei za mafuta zashuka

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura), imetangaza kushusha bei za mafuta ya taa, petroli, dizeli nchi nzima kuanzia leo.

 

11 years ago

GPL

SPIKA WA BUNGE APOKEA MAGARI MAWILI YA KUBEBEA WAGONJWA

Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akikata utepe kuzindua matumizi ya magari mawili ya kubebea wagonjwa yaliyonunulia na Ofisi ya Bunge. Pembeni ni Mjumbe wa Tume ya Utumishi ya Bunge ambaye pia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera Bunge na Uratibu Mhe. William Lukuvi.
Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa Tume ya Bunge na Katibu wa Bunge mbele ya mojawapo ya magari hayo ya kubebea...

 

11 years ago

Dewji Blog

Mwigulu awanunulia wananchi wake gari la kubebea wagonjwa

DSC07824

Naibu Waziri wa Fedha na Mbunge wa jimbo la Iramba magharibi, Mh. Mwigulu Nchemba akihutubia wapiga kura wake na wananchi wa kata ya Mtoa tarafa ya Shelui ambapo pamoja na mambo mengine, alihimiza ujenzi wa zahanati kwa kila kijiji.

DSC07878

Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk.Kebwe Stephen Kebwe (MB) akizungumza kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika kijiji cha Mgongo tarafa ya Shelui jimbo la Iramba magharibi ambapo amewataka Wakurugenzi wa halmashauri za majiji, manispaa na wilaya...

 

9 years ago

Vijimambo

UNICEF YAKABIDHI MAGARI KUMI( 10) YA KUBEBEA WAGONJWA MKOANI MBEYA

Mwakilishi wa Shirika la Kimataifa la Unicef Dkt Jama Gulaid akitoa hotuba katika sherehe ya makabidhiano ya magari ya kubebea  wagonjwa Mkoa wa Mbeya15 Octobar  2015Mratibu wa Huduma za Afya ya Uzazi na Mtoto Ndugu Prisca Butuyuyu akitoa taarifa ya huduma za Afya ya Uzazi na Mtoto katika Mkoa wa Mbeya kwenye hafla fupi ya makabidhiano ya magari ya kubebea wagonjwa 15 Octobar 2015.Mwakilishi UNICEF Dkt Jama Gulaid kulia akimkabidhi Kaimu katibu Tawala Mkoa wa Mbeya Ndugu Kastro Msigala...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AKABIDHI MAGARI 10 YA KUBEBEA WAGONJWA KWA WABUNGE

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Dodoma Mjini ambaye pia ni Naibu Waziri , Ofisi ya Waziri Mkuu, Anthony Mavunde wakati alipokabidhi magari 50 ya kubebea wagonjwa kwa wabunge yenye thamani ya shilingi bilioni 6, Aprili 29, 2020. Makabidhiano hayo yalifanyika kwenye viwanja vya Ofisi ya Waziri Mkuu, Mlimwa jijini Dodoma. Wa pili kulia ni Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu na wa tatu kulia ni Mbunge wa Nyasa ambaye pia ni Naibu...

 

10 years ago

Habarileo

Wajenzi wa bomba la gesi watoa boti ya wagonjwa

KAMPUNI ya Maendeleo ya mafuta ya China (CNPC) inayosimamia ujenzi wa bomba la gesi kutoka Mtwara - Dar es Salaam imetoa msaada wa boti ya kubeba wagonjwa kwa wananchi wa kisiwa cha Songosongo kilichopo Kilwa mkoani Lindi.

 

5 years ago

Michuzi

KITUO CHA AFYA CHA MAPERA KIMEPATA GARI LA KUBEBEA WAGONJWA


Picha na Mtandao.
KITUO cha Afya Mapera kilichopo katika Halmashauri ya wilaya Mbinga mkoani Ruvuma, kimepata gari la wagonjwa(Ambulance) iliyonunuliwa na Halmashauri hiyo ili kurahisisha usafiri kwa wagonjwa watakohitaji na kupewa rufaa kwenda Hospitali ya wilaya Mbinga na Rufaa  ya mkoa Songea.
Akikabidhi gari hilo kwa Mganga Mkuu wa kituo cha Afya Mapera,Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Mbinga Juma Mnwele alisema, gari hilo limetokana na ahadi iliyotolewa na Waziri Mkuu...

 

10 years ago

Dewji Blog

Gari la kubebea Majeneza la kipekee laingia nchini

IMG_0469

Pichani juu na chini ni muonekano wa Gari maalum la kukodisha kwa ajili ya shughuli za kubebea majeneza katika misiba limeingia nchini.

Kwa wanaohitaji kukodi kwa shughuli za misiba wanaweza kuwasiliana kupitia barua pepe kiwiaadavidson@hotmail.com au simu namba +255 715 213213, +255 713 616606 na +255 784616606 

IMG_0459

IMG_0481

Muonekano wa ndani sehemu maalum linapowekwa jeneza.

IMG_0477

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani