SPIKA WA BUNGE APOKEA MAGARI MAWILI YA KUBEBEA WAGONJWA
![](http://api.ning.com:80/files/xMCtlOLhuRdzxyNr*RnaIc-LAKGV-RNQPIGV*1RWyjgE68I*pD3sNYcT5vLjxl*ay68cGxQEaXxIqdJbBF0E-nB89Nc2GAHM/1.jpg)
Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akikata utepe kuzindua matumizi ya magari mawili ya kubebea wagonjwa yaliyonunulia na Ofisi ya Bunge. Pembeni ni Mjumbe wa Tume ya Utumishi ya Bunge ambaye pia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera Bunge na Uratibu Mhe. William Lukuvi. Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa Tume ya Bunge na Katibu wa Bunge mbele ya mojawapo ya magari hayo ya kubebea...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
VijimamboUNICEF YAKABIDHI MAGARI KUMI( 10) YA KUBEBEA WAGONJWA MKOANI MBEYA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-OeakFjEOlkE/Xql_jawsJJI/AAAAAAALokw/eZKlsUrMR-cTvrzUb4A12A24yJklMrXHACLcBGAsYHQ/s72-c/PMO_0497-1AA-768x512.jpg)
WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AKABIDHI MAGARI 10 YA KUBEBEA WAGONJWA KWA WABUNGE
![](https://1.bp.blogspot.com/-OeakFjEOlkE/Xql_jawsJJI/AAAAAAALokw/eZKlsUrMR-cTvrzUb4A12A24yJklMrXHACLcBGAsYHQ/s640/PMO_0497-1AA-768x512.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-RrzEHjYQkOY/Ux2avEBpzRI/AAAAAAAFSpY/0hRP1G7BvN0/s72-c/unnamed+(24).jpg)
Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi Apokea magari mawili kwa ajili ya mafunzo ya udereva
![](http://3.bp.blogspot.com/-RrzEHjYQkOY/Ux2avEBpzRI/AAAAAAAFSpY/0hRP1G7BvN0/s1600/unnamed+(24).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-oTV2TMzkm90/Ux2axm71aUI/AAAAAAAFSpg/cmtFdqyjgck/s1600/unnamed+(20).jpg)
11 years ago
MichuziKATIBU MKUU WA WIZARA YA UCHUKUZI APOKEA MAGARI MAWILI KUTOKA KAMPUNI YA TRANSAID YA NCHINI UINGEREZA KWA AJILI YA MAFUNZO KWA VITENDO KWA WANAFUNZI WANAOSOMA KOZI YA UDEREVA KATIKA CHUO CHA TAIFA CHA USARIFISHAJI (NIT)
5 years ago
Michuzi21 May
11 years ago
Dewji Blog14 Apr
Mwigulu awanunulia wananchi wake gari la kubebea wagonjwa
Naibu Waziri wa Fedha na Mbunge wa jimbo la Iramba magharibi, Mh. Mwigulu Nchemba akihutubia wapiga kura wake na wananchi wa kata ya Mtoa tarafa ya Shelui ambapo pamoja na mambo mengine, alihimiza ujenzi wa zahanati kwa kila kijiji.
Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk.Kebwe Stephen Kebwe (MB) akizungumza kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika kijiji cha Mgongo tarafa ya Shelui jimbo la Iramba magharibi ambapo amewataka Wakurugenzi wa halmashauri za majiji, manispaa na wilaya...
10 years ago
MichuziKATIBU MKUU WA WIZARA YA UCHUKUZI APOKEA MABEHEWA 50 YA KUBEBEA MAKASHA CHINI YA MPANGO WA MATOKEO MAKUBWA SASA (BRN)
11 years ago
GPLMAGARI MAWILI YAWAKA MOTO IRINGA
5 years ago
MichuziMAGARI MAWILI YAGONGANA NA KUSABABISHA MAJERUHI NA UHARIBIFU