Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAGARI MAWILI YAGONGANA NA KUSABABISHA MAJERUHI NA UHARIBIFU



 JESHI la Polisi Mkoani Mbeya leo, Mnamo tarehe 17.02.2020 majira ya saa 03:00 usiku wa kuamkia leo huko eneo la Ilomba, Kata ya Ilomba, Tarafa ya Iyunga, Jijini Mbeya katika barabara kuu ya Mbeya – Tunduma, Gari lori tanker la mafuta lenye namba za usajili T.720 DHV na Tela T.520 CCY likiendeshwa na ABUBAKAR MOHAMED [32] Mkazi wa Dar es Salaam likitokea Dar es Salaam kuelekea nchini Zambia likiwa limebeba mafuta Petrol na Diesel liligongana uso kwa uso na Gari ndogo yenye namba za usajili...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

AJALI: MAGARI MATATU YAGONGANA

Magari matatu yamegongana kwenye makutano ya Barabara ya Ubungo-Mabibo Mwisho na Barabara ya External jijini Dar es Salaam. Ajali hiyo imelihusisha gari dogo lenye namba za usajili T 218 CVK, Canter lenye namba za usajili T 820 BYR na Lori lenye namba T 779 AWC. Katika ajali hiyo hakuna aliyepoteza maisha. (PICHA NA GLOBAL WHATSAPP 0753 715… ...

 

5 years ago

CCM Blog

AJALI YA GARI KUGONGA TRENI NA KUSABABISHA KIFO NA MAJERUHI

Mnamo Tarehe 12.6.2020 majira ya saa 17.20hrs huko maeneo ya Mwakanga kwenye makutano ya njia ya reli na barabara itokayo Chanika kwenda Pugu wilaya ya Ilala Mkoa wa Dar es Salaam, treni ya abiria iliyokuwa ikitokea Stesheni ya TAZARA Dar es Salaam kuelekea Mbeya ikiendeshwa na Judith Lupenzi na Rita Mduma iligongwa na Gari aina ya daladala no T503 CMZ aina ya EICHER lililokuwa likitokea Chanika kwenda Buguruni na kusababisha kifo Cha abiria mmoja mwanaume aliyejulikana kwa jina la Salehe...

 

10 years ago

Vijimambo

MAGARI MATATU YAGONGANA MJINI MBEYA

Basi la Al Saedy likiwa limegongana na noah.
Ajali mbaya imetokea leo jijini Mbeya baada ya magari matatu kugongana katika eneo la Mama John ambapo magari yaliyohusika katika ajali hiyo ni basi la Al Saedy linalofanya safari zake kutoka Mbeya kwenda mkoani Dar es Salaam, Noah na gari lingine dogo (IT).
Eneo la tukio
Ajali hiyo imetokea leo asubuhi wakati dereva ambaye hajafahamika jina mara moja wa basi la Al Saedy lenye namba za usajili T T830 BQG lililokuwa limetokea kituo kikuu cha mabasi...

 

10 years ago

Michuzi

BREAKING NYUZZZZ....: MABASI MAWILI YAGONGANA USO KWA USO LEO MAENEO YA MKATA MKOANI TANGA, WATU ZAIDI YA 10 WADAIWA KUPOTEZA MAISHA

 Basi la Ngorika likiwa halitamaniki baada ya kugongana uso kwa uso la basi lingine la Kampuni ya RATCO katika ajali iliyotokea mapema leo kwenye eneo la Kijiji cha Mbweni, Mkata mkoani Tanga. kwa mujibu wa Ripota wetu aliopo eneo la tukio,inadaiwa kwamba mpaka sasa ni Watu kumi wamepoteza maisha katika ajali hiyo, akiwepo Dereva wa Basi la Ratco.Chanzo cha ajali hiyo hakijafahamika mpaka sasa. Globu ya Jamii inafanya jitihada za kumpata Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga kwa maelezo zaidi.

 

11 years ago

GPL

MAGARI MAWILI YAWAKA MOTO IRINGA

Wananchi Iringa mjini wakilitazama daladala lililowaka moto wakati likiwa kwa mafundiwa kuchomelea leo eneo la uwanja wa samora.…

 

5 years ago

Michuzi

JESHI LA POLISI MKOA WA MWANZA LAMSHIKILIA DEREVA WA LORI MALI YA TEXAS HARDWARE KWA KUSABABISHA AJALI ILIYOPELEKEA VIFO VYA WATU 8 NA MAJERUHI 5 WILAYA YA MAGU




TAREHE 10.06.2020 MAJIRA YA 19:45HRS KATIKA BARABARA YA MWANZA – MUSOMA, ENEO LA IHAYABUYAGA, KATA YA BUKANDWE, TARAFA YA SANJO, WILAYA YA MAGU – MWANZA, DEREVA AITWAE BONIPHACE CLIPHORD @TUJU MIAKA 37, MJITA, MKAZI WA MWANZA-NERA AKIENDESHA GARI NA T.322 DCB TRAILER T.1351 DCA AINA YA SCANIA LIKITOKEA WILAYA YA BUSEGA KWENDA MWANZA MALI YA KAMPUNI YA TEXAS HARDWARE, ILIGONGA TELA YA TRAKTA KWA NYUMA AMBAYO ILIKUWA HAINA TAA ZA NYUMA YENYE NAMBA ZA USAJILI T.952 DGW, BAADA YA KULIGONGA...

 

11 years ago

GPL

SPIKA WA BUNGE APOKEA MAGARI MAWILI YA KUBEBEA WAGONJWA

Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akikata utepe kuzindua matumizi ya magari mawili ya kubebea wagonjwa yaliyonunulia na Ofisi ya Bunge. Pembeni ni Mjumbe wa Tume ya Utumishi ya Bunge ambaye pia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera Bunge na Uratibu Mhe. William Lukuvi.
Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa Tume ya Bunge na Katibu wa Bunge mbele ya mojawapo ya magari hayo ya kubebea...

 

9 years ago

StarTV

Uharibifu Vyanzo Vya Maji Mto Zigi vya waweza kusababisha tatizo la maji Tanga

Mamlaka ya majisafi na majitaka Tanga UWASA imesema uharibifu wa mazingira katika vyanzo vya maji vya mto Zigi unaweza kusababisha jiji hilo kuingia kwenye tatizo la maji.

Tayari Mamlaka hiyo imeanzisha Umoja wa Wakulima hifadhi Mazingira Kihuwhi Zigi, UWAMAKIZI kama harakati ya kukabiliana na uchimbaji wa madini, kilimo na ukataji wa miti kwa ajili ya mbao.

Jiji la Tanga hutegemea maji ya mto zigi kama chanzo pekee cha maji na shughuli za kibinadamu kwenye vyanzo vya mto huo huenda...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani