Wajenzi wa bomba la gesi watoa boti ya wagonjwa
KAMPUNI ya Maendeleo ya mafuta ya China (CNPC) inayosimamia ujenzi wa bomba la gesi kutoka Mtwara - Dar es Salaam imetoa msaada wa boti ya kubeba wagonjwa kwa wananchi wa kisiwa cha Songosongo kilichopo Kilwa mkoani Lindi.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi21 May
11 years ago
Mwananchi23 May
Mitaa kikwazo usambazaji bomba la gesi
Mpangilio mbovu wa mitaa Dar es Salaam umeendelea kuwa mwiba wa upatikanaji huduma za jamii baada ya kuonekana kikwazo kwa mradi wa usambaji wa bomba la gesi kwa ajili ya matumizi ya nyumbani.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-EKhpNfTXroA/UzQgyNDJnVI/AAAAAAAFWxU/EbOlvcB3nF8/s72-c/unnamed+(31).jpg)
UTANDAZAJI WA BOMBA LA GESI KUKAMILIKA JULAI
Na Saidi Mkabakuli
Maendeleo ya ujenzi wa bomba la gesi kutoka Mtwara hadi Dar es Salaam unatarajiwa kukamilika mwishoni mwa mwezi Julai mwaka huu kufuatia kuendelea vyema kasi ya kundaza bomba hilo.
Wakizungumza na wakaguzi wa miradi ya maendeleo kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango, Wahandisi wa Ujenzi kutoka Shirika la Mafuta Tanzania (TPDC), Mhandisi Mwita Yagela na Mhandisi Omary Kitiku wamesema kuwa kasi ya sasa ya ujenzi wa kiwanda cha kuchakata gesi kilichopo kijiji cha Madimba,...
11 years ago
Mwananchi23 Jan
Pinda kukagua ujenzi bomba la gesi
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda leo anaanza ziara ya siku mbili kukagua ujenzi wa bomba la gesi Mikoa ya Dar es Salaam, Pwani, Lindi na Mtwara.
10 years ago
Habarileo09 Jan
Bomba la gesi asilia litaokoa trilioni 1.6/-
MRADI wa ujenzi wa bomba la gesi asilia, utaleta manufaa makubwa kwa taifa na wananchi wake, ikiwemo utekelezaji wa Dira ya Maendeleo ya Taifa ya mwaka 2015 na utasaidia kuokoa Sh trilioni 1.6 kwa mwaka.
11 years ago
Mwananchi26 Jan
‘Waliopitiwa na bomba la gesi wanufaike pia ’
Waziri Mkuu,Mizengo Pinda amemwagiza Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo kuhakikisha wizara yake inatenga kiasi cha Sh2 bilioni kila mwaka kwa ajili ya kuvipatia umeme na shughuli nyingine za maendeleo vijiji ambavyo vimepitiwa na bomba la gesi.
10 years ago
Michuzi04 Jan
11 years ago
Mwananchi11 May
Mvua zahofiwa kuathiri mradi wa bomba la gesi
Mvua zinazoendelea kunyesha maeneo mbalimbali nchini, zimejenga hofu ya kuathiri uendeshaji wa Mradi wa Bomba la Gesi kutoka Mtwara hadi Dar es Salam.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania