Mitaa kikwazo usambazaji bomba la gesi
Mpangilio mbovu wa mitaa Dar es Salaam umeendelea kuwa mwiba wa upatikanaji huduma za jamii baada ya kuonekana kikwazo kwa mradi wa usambaji wa bomba la gesi kwa ajili ya matumizi ya nyumbani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-EKhpNfTXroA/UzQgyNDJnVI/AAAAAAAFWxU/EbOlvcB3nF8/s72-c/unnamed+(31).jpg)
UTANDAZAJI WA BOMBA LA GESI KUKAMILIKA JULAI
11 years ago
Mwananchi26 Jan
‘Waliopitiwa na bomba la gesi wanufaike pia ’
11 years ago
Mwananchi23 Jan
Pinda kukagua ujenzi bomba la gesi
10 years ago
Habarileo09 Jan
Bomba la gesi asilia litaokoa trilioni 1.6/-
MRADI wa ujenzi wa bomba la gesi asilia, utaleta manufaa makubwa kwa taifa na wananchi wake, ikiwemo utekelezaji wa Dira ya Maendeleo ya Taifa ya mwaka 2015 na utasaidia kuokoa Sh trilioni 1.6 kwa mwaka.
10 years ago
Michuzi04 Jan
10 years ago
Habarileo31 Jul
Bomba la gesi lahitaji fedha zaidi kukamilika
GHARAMA za ujenzi wa bomba la gesi lililokamilika na kesho kuwa na uwezo wa kusafirisha gesi kutoka Mtwara hadi Dar es Salaam zimeongezeka na kufikia Dola za Marekani bilioni 1.33 (Sh trilioni 2.7).
11 years ago
Mwananchi25 Jan
Pinda: Bomba la gesi kukamilika mwaka huu
10 years ago
Habarileo23 Aug
Wajenzi wa bomba la gesi watoa boti ya wagonjwa
KAMPUNI ya Maendeleo ya mafuta ya China (CNPC) inayosimamia ujenzi wa bomba la gesi kutoka Mtwara - Dar es Salaam imetoa msaada wa boti ya kubeba wagonjwa kwa wananchi wa kisiwa cha Songosongo kilichopo Kilwa mkoani Lindi.