Bomba la gesi lahitaji fedha zaidi kukamilika
GHARAMA za ujenzi wa bomba la gesi lililokamilika na kesho kuwa na uwezo wa kusafirisha gesi kutoka Mtwara hadi Dar es Salaam zimeongezeka na kufikia Dola za Marekani bilioni 1.33 (Sh trilioni 2.7).
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-EKhpNfTXroA/UzQgyNDJnVI/AAAAAAAFWxU/EbOlvcB3nF8/s72-c/unnamed+(31).jpg)
UTANDAZAJI WA BOMBA LA GESI KUKAMILIKA JULAI
Na Saidi Mkabakuli
Maendeleo ya ujenzi wa bomba la gesi kutoka Mtwara hadi Dar es Salaam unatarajiwa kukamilika mwishoni mwa mwezi Julai mwaka huu kufuatia kuendelea vyema kasi ya kundaza bomba hilo.
Wakizungumza na wakaguzi wa miradi ya maendeleo kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango, Wahandisi wa Ujenzi kutoka Shirika la Mafuta Tanzania (TPDC), Mhandisi Mwita Yagela na Mhandisi Omary Kitiku wamesema kuwa kasi ya sasa ya ujenzi wa kiwanda cha kuchakata gesi kilichopo kijiji cha Madimba,...
11 years ago
Mwananchi25 Jan
Pinda: Bomba la gesi kukamilika mwaka huu
Waziri Mkuu Mizengo Pinda, amesema zoezi la utandazaji mabomba ya kusafirishia gesi kutoka Mtwara kwenda Dar es Salaam, unatarajiwa kukamilika mwishoni mwa mwaka huu.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-vBT2V0lXMbI/U8l6Su_bZLI/AAAAAAAF3g8/OCiipub5sZ4/s72-c/unnamed+(90).jpg)
Mradi wa bomba la gesi asilia kukamilika kama ilivyopagwa - Profesa Muhongo
![](http://3.bp.blogspot.com/-vBT2V0lXMbI/U8l6Su_bZLI/AAAAAAAF3g8/OCiipub5sZ4/s1600/unnamed+(90).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-jYc0ANxkFW4/U8l6SyGdZEI/AAAAAAAF3hE/KPbuJi4j2sQ/s1600/unnamed+(91).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-hBrgE1iaO9M/U8l6S0JkohI/AAAAAAAF3hA/zN-EUo4upP0/s1600/unnamed+(92).jpg)
11 years ago
Tanzania Daima22 Jul
Ujenzi bomba jipya Ruvu Chini mbioni kukamilika
UJENZI wa bomba jipya kutoka mtambo wa Ruvu Chini kwenda matenki yaliyoko Chuo cha Ardhi, Dar es Salaam unakaribia kukamilika. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana...
11 years ago
Mwananchi23 May
Mitaa kikwazo usambazaji bomba la gesi
Mpangilio mbovu wa mitaa Dar es Salaam umeendelea kuwa mwiba wa upatikanaji huduma za jamii baada ya kuonekana kikwazo kwa mradi wa usambaji wa bomba la gesi kwa ajili ya matumizi ya nyumbani.
11 years ago
Mwananchi23 Jan
Pinda kukagua ujenzi bomba la gesi
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda leo anaanza ziara ya siku mbili kukagua ujenzi wa bomba la gesi Mikoa ya Dar es Salaam, Pwani, Lindi na Mtwara.
10 years ago
Michuzi04 Jan
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania