‘Waliopitiwa na bomba la gesi wanufaike pia ’
Waziri Mkuu,Mizengo Pinda amemwagiza Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo kuhakikisha wizara yake inatenga kiasi cha Sh2 bilioni kila mwaka kwa ajili ya kuvipatia umeme na shughuli nyingine za maendeleo vijiji ambavyo vimepitiwa na bomba la gesi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi23 Jan
Pinda kukagua ujenzi bomba la gesi
11 years ago
Mwananchi23 May
Mitaa kikwazo usambazaji bomba la gesi
10 years ago
Habarileo09 Jan
Bomba la gesi asilia litaokoa trilioni 1.6/-
MRADI wa ujenzi wa bomba la gesi asilia, utaleta manufaa makubwa kwa taifa na wananchi wake, ikiwemo utekelezaji wa Dira ya Maendeleo ya Taifa ya mwaka 2015 na utasaidia kuokoa Sh trilioni 1.6 kwa mwaka.
10 years ago
Michuzi04 Jan
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-EKhpNfTXroA/UzQgyNDJnVI/AAAAAAAFWxU/EbOlvcB3nF8/s72-c/unnamed+(31).jpg)
UTANDAZAJI WA BOMBA LA GESI KUKAMILIKA JULAI
11 years ago
Mwananchi25 Jan
Pinda: Bomba la gesi kukamilika mwaka huu
11 years ago
Habarileo15 Jan
Viongozi wa dini watembelea bomba jipya la gesi
VIONGOZI wa dini wametembelea bomba jipya la gesi asilia la Mtwara- Dar es Salaam, mtambo wa kusafisha umeme wa Mnazi Bay na maeneo mbalimbali ya uendelezaji wa gesi asilia katika Mkoa wa Mtwara na Lindi.
11 years ago
Habarileo26 Jan
Vijiji vya Bomba la Gesi kupewa umeme
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema njia pekee ya kuondokana na hujuma dhidi ya bomba la gesi linalosafirisha gesi Mtwara - Dar es Salaam ni kuviwekea umeme vijiji vyote bomba hilo linamopita. Hivyo ameigiza Wizara ya Nishati na Madini kuhakikisha inatenga fedha kila mwaka kwa ajili ya miradi ya umeme katika maeneo hayo ili wananchi wajione ni sehemu ya mradi huo badala ya kuona bomba la gesi linapita bila kuwa na manufaa nalo.