RC azuia majeshi kutumika kiholela
MKUU wa Mkoa wa Kigoma, Kanali mstaafu Issa Machibya amezuia kutumika kiholela kwa vikosi vya majeshi ya ulinzi na usalama mkoani humo katika shughuli mbalimbali za kijamii hadi atakapotoa ruhusa ya kutumika kwao kutokana kutumika vibaya kwa majeshi hayo.
habarileo
Magazeti ya Leo
Zinazosomwa Sasa
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10