Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wahimizwa kutochimba madini kiholela

Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Dk Christine Ishengoma amewataka wachimbaji wadogo wa madini kufuata njia za kitaalamu katika uchimbaji ili kuepuka maafa migodini.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Sekta ya madini wahimizwa uadilifu

NAIBU Waziri wa Nishati na Madini, Charles KitwangaNAIBU Waziri wa Nishati na Madini, Charles Kitwanga amewahimiza Watumishi wa Umma katika Sekta ya Madini kuwa wazalendo na kufanya kazi kwa ubunifu .

 

11 years ago

Mwananchi

Zahanati Kinondoni zajengwa kiholela

Tathmini ya huduma za afya katika Zahanati na Hospitali za Manispaa ya Kinondoni inaonyesha kuwa, kutokuwapo na mawasiliano miongoni mwa mamlaka za Serikali kumechangia kutokea kwa hasara ambazo zingeweza kuepukika.

 

10 years ago

Habarileo

RC azuia majeshi kutumika kiholela

MKUU wa Mkoa wa Kigoma, Kanali mstaafu Issa Machibya amezuia kutumika kiholela kwa vikosi vya majeshi ya ulinzi na usalama mkoani humo katika shughuli mbalimbali za kijamii hadi atakapotoa ruhusa ya kutumika kwao kutokana kutumika vibaya kwa majeshi hayo.

 

9 years ago

Dewji Blog

Jihadharini na matumizi ya Antibiotiki kiholela

1213

Mwenyekiti wa Antibiotic Resistance Partnership (GARP), Profesa Said Aboud kutoka Chuo Kikuu cha Sayansi za Tiba Shirikishi (MUHAS) kushoto akitoa ripoti ripoti ya dunia kuhusu matumizi na usugu wa dawa za Antibiotiki ya mwaka 2015,uliofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii.Katikati ni Mganga Mkuu wa Serikali, Profesa Mohammed Bakarina kulia ni Mfamasia Mkuu wa Serikali Henry Irunde.

1412

Mganga Mkuu wa Serikali, Profesa Mohammed Bakari (kushoto wa pili)...

 

10 years ago

Mwananchi

Uingizaji wa saruji kiholela wawaliza wazawa

Kiwanda cha Saruji cha Tanga (Tanga Cement) kimeiomba Serikali kudhibiti uingizwaji wa saruji kutoka nje ya nchi.

 

10 years ago

BBCSwahili

DRC:Polisi waliwaua vijana kiholela

Ripoti ya shirika la Human Rights Watch inasema polisi nchini DRC kwa jumla wamewaua vijana wapatao 51 katika operesheni ya kupambana na uhalifu Kinshasa.

 

10 years ago

Tanzania Daima

‘Watanzani msinununue bidhaa kiholela mitaani’

WATANZANIA wameshauriwa kutonunua bidhaa bidhaa zisizo na uhakika wa ubora mitaani na kujikuta wakiambulia hasara baada ya bidhaa hizo kuharibika kwa kipindi kifupi. Ushauri huo ulitolewa jijini Dar es Salaam...

 

11 years ago

Habarileo

Wahadharishwa kutojiunga na mifuko ya hifadhi kiholela

WALIMU wapya wameshauriwa kutokubali kuandikishwa kuingia kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii katika mazingira yasiyo rasmi na badala yake wafike katika ofisi za wakurugenzi zilizoko katika halmashauri walizopangiwa.

 

10 years ago

Tanzania Daima

TAHLISO yalia ada kupanda kiholela

WANAFUNZI wa elimu ya juu nchini, wametakiwa kutokulipa ongezeko la ada mpya ambayo baadhi ya vyuo vikuu vimekuwa vikipandisha kiholela na kupuuza tamko la Tume ya Vyuo Vikuu (TCU). Akizungumza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani