Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TAHLISO yalia ada kupanda kiholela

WANAFUNZI wa elimu ya juu nchini, wametakiwa kutokulipa ongezeko la ada mpya ambayo baadhi ya vyuo vikuu vimekuwa vikipandisha kiholela na kupuuza tamko la Tume ya Vyuo Vikuu (TCU). Akizungumza...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

RC azuia majeshi kutumika kiholela

MKUU wa Mkoa wa Kigoma, Kanali mstaafu Issa Machibya amezuia kutumika kiholela kwa vikosi vya majeshi ya ulinzi na usalama mkoani humo katika shughuli mbalimbali za kijamii hadi atakapotoa ruhusa ya kutumika kwao kutokana kutumika vibaya kwa majeshi hayo.

 

11 years ago

Mwananchi

Zahanati Kinondoni zajengwa kiholela

Tathmini ya huduma za afya katika Zahanati na Hospitali za Manispaa ya Kinondoni inaonyesha kuwa, kutokuwapo na mawasiliano miongoni mwa mamlaka za Serikali kumechangia kutokea kwa hasara ambazo zingeweza kuepukika.

 

11 years ago

Mwananchi

Wahimizwa kutochimba madini kiholela

Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Dk Christine Ishengoma amewataka wachimbaji wadogo wa madini kufuata njia za kitaalamu katika uchimbaji ili kuepuka maafa migodini.

 

9 years ago

Dewji Blog

Jihadharini na matumizi ya Antibiotiki kiholela

1213

Mwenyekiti wa Antibiotic Resistance Partnership (GARP), Profesa Said Aboud kutoka Chuo Kikuu cha Sayansi za Tiba Shirikishi (MUHAS) kushoto akitoa ripoti ripoti ya dunia kuhusu matumizi na usugu wa dawa za Antibiotiki ya mwaka 2015,uliofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii.Katikati ni Mganga Mkuu wa Serikali, Profesa Mohammed Bakarina kulia ni Mfamasia Mkuu wa Serikali Henry Irunde.

1412

Mganga Mkuu wa Serikali, Profesa Mohammed Bakari (kushoto wa pili)...

 

9 years ago

Habarileo

Tahliso wamkubali Magufuli

SHIRIKISHO la Wanafunzi wa Vyuo Vikuu (Tahliso) wamepongeza hatua ya Serikali ya Rais John Magufuli kuongeza idadi ya wanafunzi ambao wamepata mikopo ya elimu ya juu kutoka wanafunzi 34,128 mwaka jana hadi kufikia wanafunzi 53,032 mwaka huu.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Tahliso yacharukia wanasiasa

JUMUIYA ya Vyuo Vikuu Tanzania (Tahliso), imekemea vikali tabia ya baadhi ya wanasiasa nchini kutumia Serikali za wanafunzi wa vyuo hivyo kutoa matamko ya kuwaunga mkono katika hatakati zao za...

 

10 years ago

Mwananchi

Tahliso wasisitiza kuandamana

Jumuiya ya Wanafunzi wa Vyuo vya Elimu ya Juu (Tahliso) imesema watafanya maandamano kwa nguvu, endapo hawatalipwa madai yao ya fedha za mafunzo kwa vitendo hadi kufikia Ijumaa wiki hii.

 

10 years ago

TheCitizen

Tahliso: End CA sessions

Tanzania Higher Learning Institutions Students’ Organisation (Tahliso) has joined the chorus of organisations and politicians calling for the suspension of the Constituent Assembly, saying continuing with the sitting knowing there will not be a referendum until after 2015 General elections was misuse of public money.

 

10 years ago

BBCSwahili

DRC:Polisi waliwaua vijana kiholela

Ripoti ya shirika la Human Rights Watch inasema polisi nchini DRC kwa jumla wamewaua vijana wapatao 51 katika operesheni ya kupambana na uhalifu Kinshasa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani