DRC:Polisi waliwaua vijana kiholela
Ripoti ya shirika la Human Rights Watch inasema polisi nchini DRC kwa jumla wamewaua vijana wapatao 51 katika operesheni ya kupambana na uhalifu Kinshasa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili03 Apr
Polisi waliwaua waandamanaji Ukraine
9 years ago
BBCSwahili28 Dec
Vijana wapewa kipaumbele kuajiriwa DRC
9 years ago
BBCSwahili14 Aug
Amisom waliwaua 6 harusini Somalia
9 years ago
Habarileo28 Oct
Polisi yaonya vijana wanaotishia amani
JESHI la Polisi nchini limewaonya wafuasi wa vyama vya siasa hasa vijana kuacha tabia ya kufanya vitendo vya uvunjifu wa amani kwa kisingizio cha kucheleweshwa matokeo. Onyo hilo lilitolewa jana jijini Dar es Salaam na Kamishna wa Polisi anayeshughulikia Operesheni na Mafunzo, Paul Chagonja wakati akizungumza na waandishi wa habari.
10 years ago
Habarileo20 Jun
Vijana wahamasishwa kuchangamkia ajira Polisi
VIJANA waliopitia Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) na Watanzania wengine wenye sifa, wamehamasishwa kuchangamkia nafasi 3,000 zilizotangazwa na Jeshi la Polisi ambalo liko katika mchakato wa kuongeza idadi ya askari katika kukidhi mahitaji ya ulinzi na usalama wa wananchi.
11 years ago
Habarileo09 Feb
Polisi washikilia vijana wawili kwa noti bandia
POLISI mkoani hapa inawashikilia vijana wawili kwa tuhuma za kukutwa na noti bandia zenye thamani ya Sh 285,000.
10 years ago
Mtanzania14 Feb
Lipumba awanusuru vijana wake na kipigo cha polisi
Na Elizabeth Mjatta na Asifiwe George
MWENYEKITI wa Chama Cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahimu Lipumba amezuia maandamano ya Jumuia ya Vijana wa chama hicho Taifa (JUVICUF) kwa kile alichokieleza kuwa ni hofu yake ya kupigwa , kuumizwa na hata kuuawa na Jeshi la Polisi waliokuwa wamejipanga kuzima maandamano yao.
JUVICUF walipanga kuandamana kwenda Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuishinikiza kuongeza muda wa uandikishaji katika daftari la wapiga kura.
Maandamano hayo pia yangefika hadi...
11 years ago
Mwananchi25 Jul
Wahimizwa kutochimba madini kiholela
10 years ago
Habarileo30 Aug
RC azuia majeshi kutumika kiholela
MKUU wa Mkoa wa Kigoma, Kanali mstaafu Issa Machibya amezuia kutumika kiholela kwa vikosi vya majeshi ya ulinzi na usalama mkoani humo katika shughuli mbalimbali za kijamii hadi atakapotoa ruhusa ya kutumika kwao kutokana kutumika vibaya kwa majeshi hayo.