Vijana wahamasishwa kuchangamkia ajira Polisi
VIJANA waliopitia Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) na Watanzania wengine wenye sifa, wamehamasishwa kuchangamkia nafasi 3,000 zilizotangazwa na Jeshi la Polisi ambalo liko katika mchakato wa kuongeza idadi ya askari katika kukidhi mahitaji ya ulinzi na usalama wa wananchi.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-AWO_7VoQ9fc/VOJZQPD2krI/AAAAAAAHEGU/Luxi2r9403A/s72-c/PIX1.jpg)
Vijana Manispaa ya Kigoma Ujiji wahamasishwa kuchangamkia fursa za mfuko wa Maendeleo ya Vijana
![](http://3.bp.blogspot.com/-AWO_7VoQ9fc/VOJZQPD2krI/AAAAAAAHEGU/Luxi2r9403A/s1600/PIX1.jpg)
10 years ago
Vijimambo23 Jan
Watanzania wahimizwa kuchangamkia fursa za ajira, Emirates
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-C-LhNBiBgLE/VhU7XeGGsuI/AAAAAAAADp8/nQm2waBjSXs/s72-c/OTH_1942.jpg)
LOWASSA AWATAKA WATANZANIA KUCHANGAMKIA FURSA ZA AJIRA ZITOLEWAZO NA AFRIKA MASHARIKI
Kauli hiyo ilitolewa jana na mgombea wa Urais kupitia Chadema, Edward Lowassa alipokuwa kwenye kampeni zake zilizofanyika katika uwanja wa Shule ya Msingi Namanga.
Lowassa alisema iwapo atachaguliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, atahakikisha kuwa watanzania wanachangamkia fursa za Afrika Mashariki kama ilivyo kwa Kenya.
"Napenda mahusiano ya Afrika...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-xfwMy2zP1p8/VBrXSMW8EzI/AAAAAAABCtA/r6rsf9gxZdI/s72-c/IMG_8858.jpg)
WAKALA WA AJIRA TANZANIA WAELEZA MIKAKATI YAO YA KUWASAIDIA VIJANA WANAOKUBWA NA JANGA LA KUKOSA AJIRA
![](http://4.bp.blogspot.com/-xfwMy2zP1p8/VBrXSMW8EzI/AAAAAAABCtA/r6rsf9gxZdI/s1600/IMG_8858.jpg)
10 years ago
Habarileo20 Jun
Vijana wahamasishwa kujiunga kwenye vikundi
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana, ameshauri vijana kuunda vikundi vitakavyowawezesha kupata mikopo na kufanya shughuli za maendeleo.
10 years ago
Uhuru Newspaper22 Apr
Vijana washauriwa kuchangamkia fursa
Na Genofeva Matemu, Maelezo
VIJANA katika Halmashauri ya Wilaya ya Monduli mkoani Arusha, wametakiwa kuimarisha miradi ya mfano inayokopesheka.
Rai hiyo ilitolewa na mhamasishaji kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Ester Riwa, katika semina ya ujasiriamali iliyofanyika katika Kata ya Monduli Juu.
Alisema Mfuko wa Maendeleo ya Vijana umekuwa ukiwawezesha vijana, hivyo wanatakiwa kubuni miradi ili waweze kukopesheka.
Ester aliwataka vijana kuwa na mwamko utakaowawezesha...
10 years ago
Habarileo24 Feb
Vijana watakiwa kuchangamkia fursa
VIJANA wametakiwa kuchangamkia fursa mbalimbali za kujiajiri kupitia lugha ya Kiswahili ili kukikuza ndani na nje ya nchi.
5 years ago
MichuziVIJANA WAHAMASISHWA UFUGAJI WA KUKU, KUJIKWAMUA KIUCHUMI
Na. Edward Kondela
Wizara ya Mifugo na Uvuvi imewapa vifaranga vya kuku 540 kikundi cha vijana wajasiriamali ili kuhamasisha ufugaji utakaosaidia kuziba pengo la uhaba wa nyama ifikapo mwaka 2022 pamoja na kukuza sekta ya kuku nchini.
Kaimu Mkurugenzi Msaidizi wa Mazao ya Mifugo na Usalama wa Chakula na Lishe wa wizara hiyo, Bw. Gabriel Bura amekabidhi vifaranga hivyo mwishoni mwa wiki kwa wawakilishi wa kikundi cha vijana watatu wajasiriamali hafla ilifanyika Mbweni jijini Dar es Salaam....
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-QGbwQiFoMMA/XmFQSwk7VnI/AAAAAAALhY4/17ruhVgy4b0-QvyWRnzhzaW6RtQiBEoAQCLcBGAsYHQ/s72-c/2-10.jpg)
RC TABORA AWATAKA VIJANA KUCHANGAMKIA KILIMO NA UFUGAJI
![](https://1.bp.blogspot.com/-QGbwQiFoMMA/XmFQSwk7VnI/AAAAAAALhY4/17ruhVgy4b0-QvyWRnzhzaW6RtQiBEoAQCLcBGAsYHQ/s640/2-10.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/1a.jpg)
VIJANA wametakiwa kutumia fursa zinazotokana shughuli za kilimo na ufugaji kujiari wenyewe badala ya kusubiri ajira za Serikali...