Vijana wahamasishwa kujiunga kwenye vikundi
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana, ameshauri vijana kuunda vikundi vitakavyowawezesha kupata mikopo na kufanya shughuli za maendeleo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziWAJASIRIAMALI TOKA VIKUNDI MBALIMBALI WAHAMASISHWA KUJIUNGA NA MFUKO WA TAIFA WA BIMA YA AFYA (NHIF)
Wajasiriamali toka vikundi mbalimbali wamehamasishwa kujiunga na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) ili kurahisisha matibabu wawapo katika shughuli zao za kawaida,leo katika ukumbi wa Msimbazi Centre jijini Dar es Salaam.
Katika Mpango mpya uliozinduliwa na Mfuko huo ujulikanao kama Mpango wa Kikoa(MATUAL PLAN),Wajasiriamali watakaojiunga na mfuko huo na kuwa wanachama watalipia shilingi 76,800 kwa mwaka ili kupata matibabu kupitia mfuko huo. ...
9 years ago
Mwananchi17 Aug
Wajasiriamali watakiwa kujiunga kwenye vikundi
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-AWO_7VoQ9fc/VOJZQPD2krI/AAAAAAAHEGU/Luxi2r9403A/s72-c/PIX1.jpg)
Vijana Manispaa ya Kigoma Ujiji wahamasishwa kuchangamkia fursa za mfuko wa Maendeleo ya Vijana
![](http://3.bp.blogspot.com/-AWO_7VoQ9fc/VOJZQPD2krI/AAAAAAAHEGU/Luxi2r9403A/s1600/PIX1.jpg)
9 years ago
MichuziWANAMICHEZO WAHAMASISHWA KUJIUNGA NA MFUKO WA BIMA YA AFYA
9 years ago
Dewji Blog24 Aug
Wanawake wakiafrika wahamasishwa kujiunga na sekta ya usafiri wa anga
Rubani mwanamke, Anne-Marie Lewis.
Pamoja na kwamba uwepo wa wanawake katika sekta ya usafiri wa anga bado ni mdogo, uwezo wa kuwa viongozi katika usafiri wa anga hauna mwiko. Wanawake barani Afrika hawapaswi kuogopa kuwa sehemu ya sekta hii inayokua barani kote. Hayo ni maneno kutoka kwa rubani mwanamke wa kwanza kuongoza ndege aina ya Airbus A380 inayomilikiwa na kampuni la fastjet Tanzania, rubani Anne-Marie Lewis, ambaye huongoza ndege hii ya Airbus katika mikoa ya Tanzania na nchi...
10 years ago
Mwananchi20 Dec
Wakulima watakiwa kujiunga na vikundi
10 years ago
Habarileo20 Jun
Vijana wahamasishwa kuchangamkia ajira Polisi
VIJANA waliopitia Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) na Watanzania wengine wenye sifa, wamehamasishwa kuchangamkia nafasi 3,000 zilizotangazwa na Jeshi la Polisi ambalo liko katika mchakato wa kuongeza idadi ya askari katika kukidhi mahitaji ya ulinzi na usalama wa wananchi.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-cy2X8io8-do/U-MrZPuJY3I/AAAAAAAF9rg/g-AE14ImzrY/s72-c/IMG_7058.jpg)
Wizara ya Habari Vijana,Utamaduni na Michezo yakagua miradi ya vikundi vya Vijana vya Wilaya ya Chemba Mkoani Dodoma
![](http://3.bp.blogspot.com/-cy2X8io8-do/U-MrZPuJY3I/AAAAAAAF9rg/g-AE14ImzrY/s1600/IMG_7058.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-gpnxq7LzDZg/U-MraFOyqFI/AAAAAAAF9ro/yEISLAEsulA/s1600/IMG_7079.jpg)