Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Amisom waliwaua 6 harusini Somalia

Human Rights Watch,linasema kuwa wanajeshi wa Uganda walivamia kijiji kimoja ambako kulikuwa na umatu harusini na kuwaua watu 6.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

AMISOM:Hatutaondoka Somalia

Wanajeshi wa umoja wa Afrika nchini Somalia Amisom hawataondoka katika miji yoyote ya kusini mwa Somalia kinyume na ripoti za vyombo vya habari,kwa mujibu wa Amisom

 

10 years ago

GPL

AMISOM YAFELISHA SHAMBULIO LA AL-SHABAB, SOMALIA

Askari wa kulinda amani wa Umoja wa Afrika nchini Somalia, AMISOM. Askari wa kulinda amani wa Umoja wa Afrika nchini Somalia, AMISOM wametangaza kuwa, wamefanikiwa kufelisha shambulizi la kigaidi la wanamgambo wa al-Shabab nchini humo. Askali hao wakiwa kwenye oparesheni hiyo. Taarifa iliyotangazwa na Sam Kavuma, mmoja makamanda wa askari hao, imesema kuwa wanamgambpo wa al -Shabab walijaribu kudhibiti kambi za kijeshi za...

 

11 years ago

BBCSwahili

Amisom:Al Shabaab yapata kipigo Somalia

Kikosi cha jeshi la muungano wa Afrika, Amisom, kimeshambulia kambi za wapiganaji wa al Ahabaab huku na kuwaua wapiganaji 80 wa kundi hilo

 

10 years ago

BBCSwahili

AMISOM yaukomboa mji wa Gedo Somalia

Mji wa Baardheere ulioko eneo la Gedo nchini Somalia umekombolewa na wanajeshi wa Muungano wa Afrika AMISOM, ikiwa ni mara ya kwanza kwa miaka saba.

 

11 years ago

BBCSwahili

Polisi waliwaua waandamanaji Ukraine

Polisi wa kikosi maalum cha Ukraine wamedaiwa kuwaua waandamanaji kadhaa mjini Kiev, wakati wa vurugu nchini humo Februari mwaka huu.

 

10 years ago

BBCSwahili

DRC:Polisi waliwaua vijana kiholela

Ripoti ya shirika la Human Rights Watch inasema polisi nchini DRC kwa jumla wamewaua vijana wapatao 51 katika operesheni ya kupambana na uhalifu Kinshasa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi wa Ethiopia wajiunga na Amisom

Wanajeshi wa Ethiopia hii leo wamejiunga rasmi na wanajeshi wa (AMISOM) wanaoshika doria nchini Somalia kupambana na Al Shabaab

 

10 years ago

Bongo Movies

Vijimambo :Naelekea Harusini-Ray

Baada  ya kuonekana  kukataa kuweka dau mezani,  Staa wa Bongo Movies ‘Ray’ ambae ni shabiki mkubwa wa Yanga ameshare nasi picha akiwa anaelekea kiwanjani kushuhudia mechi ya watani wa jadi,  Simba na Yanga  inayopigwa leo uwanja wataifa.  

“Nimeshajiandaa tayari sasa naelekea harusini.....nasikia biharusi kapendeza sana”-aliandika na kumtagi JB

Baadhi ya watu wanamuliza  bila majibu kama ameweka mazigo au la?  Au hana uhakika na timu yake?

Siku ya jana  JB  ambae ni mshabiki wa Simba,...

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu 20 wafariki harusini Afghanistan

Sherehe moja ya harusi nchini Afghanistan, imeshambuliwa kwa mzinga uliorushwa na roketi na kusababisha mauaji ya watu 20.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani