Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AMISOM YAFELISHA SHAMBULIO LA AL-SHABAB, SOMALIA

Askari wa kulinda amani wa Umoja wa Afrika nchini Somalia, AMISOM. Askari wa kulinda amani wa Umoja wa Afrika nchini Somalia, AMISOM wametangaza kuwa, wamefanikiwa kufelisha shambulizi la kigaidi la wanamgambo wa al-Shabab nchini humo. Askali hao wakiwa kwenye oparesheni hiyo. Taarifa iliyotangazwa na Sam Kavuma, mmoja makamanda wa askari hao, imesema kuwa wanamgambpo wa al -Shabab walijaribu kudhibiti kambi za kijeshi za...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Ugaidi Somalia: Kamanda wa Al-Shabab Bashir Mohamed Qorgab 'auawa katika shambulio la angani '

Marekani imekuwa ikimsaka mwanamgambo huyo wa kijihadi, lakini haijatoa tamko lolote kuhusiana na kifo chake.

 

10 years ago

BBCSwahili

AMISOM:Hatutaondoka Somalia

Wanajeshi wa umoja wa Afrika nchini Somalia Amisom hawataondoka katika miji yoyote ya kusini mwa Somalia kinyume na ripoti za vyombo vya habari,kwa mujibu wa Amisom

 

9 years ago

BBCSwahili

Amisom waliwaua 6 harusini Somalia

Human Rights Watch,linasema kuwa wanajeshi wa Uganda walivamia kijiji kimoja ambako kulikuwa na umatu harusini na kuwaua watu 6.

 

11 years ago

BBCSwahili

Amisom:Al Shabaab yapata kipigo Somalia

Kikosi cha jeshi la muungano wa Afrika, Amisom, kimeshambulia kambi za wapiganaji wa al Ahabaab huku na kuwaua wapiganaji 80 wa kundi hilo

 

10 years ago

BBCSwahili

AMISOM yaukomboa mji wa Gedo Somalia

Mji wa Baardheere ulioko eneo la Gedo nchini Somalia umekombolewa na wanajeshi wa Muungano wa Afrika AMISOM, ikiwa ni mara ya kwanza kwa miaka saba.

 

10 years ago

BBC

US attacks al-Shabab in Somalia

The US military says it carried out a military operation against al-Qaeda-linked al-Shabab militants in Somalia.

 

11 years ago

BBCSwahili

Madaktari wauawa kwa shambulio Somalia

Madktari raia wa Syria na wa jamii ya kisomali wameuawa kwa kupigwa risasi karibu na mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Shambulio la bomu laua watano, Somalia

Mlipuko mkubwa wa bomu la kutegwa ndani ya gari umetokea karibu na Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mogadishu nchini Somalia.

 

10 years ago

BBCSwahili

Jeshi la Kenya lafanya shambulio Somalia

Jeshi la Kenya limeshambulia maeneo mawili ya jimbo la Gedo nchini Somalia,ambalo ni makao ya wapiganaji wa kundi la Alshabaab

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani