Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Amisom:Al Shabaab yapata kipigo Somalia

Kikosi cha jeshi la muungano wa Afrika, Amisom, kimeshambulia kambi za wapiganaji wa al Ahabaab huku na kuwaua wapiganaji 80 wa kundi hilo

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Kenya:Al shabaab yapata kipigo

Jeshi la Kenya linalopambana na kundi la wanamgambo la al-Shabaab linasema limewaua angalau wapiganaji 30 wa kundi hilo Kusini Magharibi mwa Somalia.

 

9 years ago

BBCSwahili

Al Shabaab yashambulia kambi ya AMISOM

Kundi la wapiganaji wa Kiislamu Al Shabaab limeshambulia kambi ya walinda usalama wa muungano wa Afrika AMISOM nchini Somalia

 

10 years ago

BBCSwahili

Al shabaab yashambulia kituo cha Amisom

Watu 30 wameripotiwa kufa baada ya shambulizi la kigaidi katika kituo cha kijeshi cha Amisom kinachoendeshwa na wanajeshi wa Burundi.

 

9 years ago

TheCitizen

Al-Shabaab kills more than 50 Amisom soldiers: report

At least 50 African Union soldiers are believed to have been killed and another 50 are missing after Al-Shabaab militants overran a military camp in southern Somalia on Tuesday, according to Western military officials.

 

10 years ago

TheCitizen

Amisom troops capture key town from Al-shabaab

Mogadishu. The Kenya Defence Forces (KDF) and Somalia troops working under the Africa Union Mission in Somalia (Amisom) have captured a key port town from Al-Shabaab fighters.

 

10 years ago

BBCSwahili

AMISOM:Hatutaondoka Somalia

Wanajeshi wa umoja wa Afrika nchini Somalia Amisom hawataondoka katika miji yoyote ya kusini mwa Somalia kinyume na ripoti za vyombo vya habari,kwa mujibu wa Amisom

 

9 years ago

BBCSwahili

Amisom waliwaua 6 harusini Somalia

Human Rights Watch,linasema kuwa wanajeshi wa Uganda walivamia kijiji kimoja ambako kulikuwa na umatu harusini na kuwaua watu 6.

 

10 years ago

BBCSwahili

AMISOM yaukomboa mji wa Gedo Somalia

Mji wa Baardheere ulioko eneo la Gedo nchini Somalia umekombolewa na wanajeshi wa Muungano wa Afrika AMISOM, ikiwa ni mara ya kwanza kwa miaka saba.

 

10 years ago

GPL

AMISOM YAFELISHA SHAMBULIO LA AL-SHABAB, SOMALIA

Askari wa kulinda amani wa Umoja wa Afrika nchini Somalia, AMISOM. Askari wa kulinda amani wa Umoja wa Afrika nchini Somalia, AMISOM wametangaza kuwa, wamefanikiwa kufelisha shambulizi la kigaidi la wanamgambo wa al-Shabab nchini humo. Askali hao wakiwa kwenye oparesheni hiyo. Taarifa iliyotangazwa na Sam Kavuma, mmoja makamanda wa askari hao, imesema kuwa wanamgambpo wa al -Shabab walijaribu kudhibiti kambi za kijeshi za...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani