AMISOM yaukomboa mji wa Gedo Somalia
Mji wa Baardheere ulioko eneo la Gedo nchini Somalia umekombolewa na wanajeshi wa Muungano wa Afrika AMISOM, ikiwa ni mara ya kwanza kwa miaka saba.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili04 Jul
AMISOM:Hatutaondoka Somalia
Wanajeshi wa umoja wa Afrika nchini Somalia Amisom hawataondoka katika miji yoyote ya kusini mwa Somalia kinyume na ripoti za vyombo vya habari,kwa mujibu wa Amisom
9 years ago
BBCSwahili14 Aug
Amisom waliwaua 6 harusini Somalia
Human Rights Watch,linasema kuwa wanajeshi wa Uganda walivamia kijiji kimoja ambako kulikuwa na umatu harusini na kuwaua watu 6.
11 years ago
BBCSwahili23 Jun
Amisom:Al Shabaab yapata kipigo Somalia
Kikosi cha jeshi la muungano wa Afrika, Amisom, kimeshambulia kambi za wapiganaji wa al Ahabaab huku na kuwaua wapiganaji 80 wa kundi hilo
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pHhBdYiNnuKEXeVi9lKVTzLFVDp8qDJljgHvP5eGpSeNp9cT7x1Od2A09Kj0LOfq41Y-e94lYCa-6TAZSYIBLOAKzFfNvuWM/amisom1.jpg?width=650)
AMISOM YAFELISHA SHAMBULIO LA AL-SHABAB, SOMALIA
Askari wa kulinda amani wa Umoja wa Afrika nchini Somalia, AMISOM. Askari wa kulinda amani wa Umoja wa Afrika nchini Somalia, AMISOM wametangaza kuwa, wamefanikiwa kufelisha shambulizi la kigaidi la wanamgambo wa al-Shabab nchini humo. Askali hao wakiwa kwenye oparesheni hiyo. Taarifa iliyotangazwa na Sam Kavuma, mmoja makamanda wa askari hao, imesema kuwa wanamgambpo wa al -Shabab walijaribu kudhibiti kambi za kijeshi za...
9 years ago
BBCSwahili18 Sep
Al-Shabab watwaa mji kusini mwa Somalia
Al-Shabab wanasema wameutwaa mjini wa Janale kusini mwa Somalia ambako wanajeshi wa Muungano wa Afrika waliuawa mapema mwezi huu.
11 years ago
BBCSwahili16 Jan
Gedo arejea Al Ahly kutoka Hull
Mshambuliaji wa Misri, Gedo, amerejea katika klabu ya Al Ahly, baada ya klabu ya Hull kusitisha huduma zake kwa klabu hiyo
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/72321000/jpg/_72321579_gedo.jpg)
Egyptian striker Gedo leaves Hull
Egyptian striker Gedo returns to Al Ahly after English Premier League side Hull bring an early end to the player's loan deal.
9 years ago
BBCSwahili01 Sep
Al Shabaab yashambulia kambi ya AMISOM
Kundi la wapiganaji wa Kiislamu Al Shabaab limeshambulia kambi ya walinda usalama wa muungano wa Afrika AMISOM nchini Somalia
11 years ago
BBCSwahili22 Jan
Wanajeshi wa Ethiopia wajiunga na Amisom
Wanajeshi wa Ethiopia hii leo wamejiunga rasmi na wanajeshi wa (AMISOM) wanaoshika doria nchini Somalia kupambana na Al Shabaab
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania