Al Shabaab yashambulia kambi ya AMISOM
Kundi la wapiganaji wa Kiislamu Al Shabaab limeshambulia kambi ya walinda usalama wa muungano wa Afrika AMISOM nchini Somalia
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili26 Jun
Al shabaab yashambulia kituo cha Amisom
Watu 30 wameripotiwa kufa baada ya shambulizi la kigaidi katika kituo cha kijeshi cha Amisom kinachoendeshwa na wanajeshi wa Burundi.
11 years ago
BBCSwahili30 Aug
AMISOM yashambulia kusini mwa Somali.
Maafisa wa serikali ya Somali wanasema kuwa vikosi vyao vikishirikiana na wanajeshi wa Amisom wameanzisha mashambulizi.
11 years ago
BBCSwahili23 Jun
Amisom:Al Shabaab yapata kipigo Somalia
Kikosi cha jeshi la muungano wa Afrika, Amisom, kimeshambulia kambi za wapiganaji wa al Ahabaab huku na kuwaua wapiganaji 80 wa kundi hilo
10 years ago
TheCitizen03 Sep
Al-Shabaab kills more than 50 Amisom soldiers: report
At least 50 African Union soldiers are believed to have been killed and another 50 are missing after Al-Shabaab militants overran a military camp in southern Somalia on Tuesday, according to Western military officials.
10 years ago
TheCitizen23 Mar
Amisom troops capture key town from Al-shabaab
Mogadishu. The Kenya Defence Forces (KDF) and Somalia troops working under the Africa Union Mission in Somalia (Amisom) have captured a key port town from Al-Shabaab fighters.
10 years ago
BBCSwahili29 Jul
Uturuki yashambulia kambi za Wakurdi
Serikali ya Uturuki inasema kuwa ndege za kivita zimetekeleza mashambulizi katika kambi za kundi la Kikurdi PKK Kaskazini mwa Iraq na kusini mashariki wa Uturuki.
10 years ago
GPL
KENYA YALIPIZA KISASI, YASHAMBULIA MAKAZI YA AL-SHABAAB
Wanajeshi wa Kenya. Mpiganaji shambulio la Garrisa afahamika SERIKALI ya Kenya imesema mmoja ya wapiganaji waliohusika katika kushambulia Chuo Kikuu cha Garrisa nchini humo na kuwaua wanafunzi, wafanyakazi wa chuo na raia wengine huku wengine wakiachwa majeruhi, ametambulika kuwa ni mtoto wa ofisa wa serikali nchini Kenya. Msemaji wa Wizara ya… ...
10 years ago
GPL
SOMALIA: AL SHABAAB YASHAMBULIA NA KUUA WATU 9 MOGADISHU
Maofisa wa Polisi nchini Somalia wakiingia ndani ya jengo lililovamiwa na Al Shabaab ili kukabiliana nao. Watu 9 wameripotiwa kuuawa katika jengo ya Wizara ya Elimu mjini Mogadishu, Somalia. Vyombo vya habari mjini Mogadishu vimeripoti kuwa wavamizi hao walilipua bomu lililotegwa ndani ya gari kwenye ukuta wa jengo la waizara ya elimu nchini humo. Kabla ya wavamizi kadhaa kuingia ndani ya jengo walianza kwa  kupiga risasi za...
10 years ago
GPL
AL-SHABAAB NI NANI: MAREKANI YATANGAZA KUUA KIONGOZI WA AL-SHABAAB
ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA: Wiki iliyopita nilieleza juu ya kundi haramu la kigaidi la Al-Shabaab lilivyotuma vitisho vya kutaka kuvamia Majiji ya Dar na Mwanza nchini Tanzania kupitia mkanda wa video ulioonesha mwakilishi wa Kundi la Kigaidi la Dola ya Kiislam la Iraq na Lavent (ISIL), akimtaka Kiongozi wa Al-Shabaab kujiimarisha na kufanya mashambulizi kwenye majiji hayo. SASA ENDELEA… Katika kipindi hicho, polisi wa Tanzania...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania