Uturuki yashambulia kambi za Wakurdi
Serikali ya Uturuki inasema kuwa ndege za kivita zimetekeleza mashambulizi katika kambi za kundi la Kikurdi PKK Kaskazini mwa Iraq na kusini mashariki wa Uturuki.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili27 Jul
Wakurdi wadai kushambuliwa na Uturuki
9 years ago
BBCSwahili11 Oct
Uturuki yakana mauaji ya Wakurdi
10 years ago
BBCSwahili11 Oct
IS yashambulia kivuko cha Uturuki
9 years ago
BBCSwahili01 Sep
Al Shabaab yashambulia kambi ya AMISOM
9 years ago
Habarileo27 Aug
Mkwasa atambia kambi Uturuki
KOCHA Mkuu wa timu ya soka ya Taifa, Taifa Stars Charles Mkwasa amesema anaamini kambi ya Uturuki itawapika wachezaji wake vya kutosha kuikabili Nigeria. Stars ipo Uturuki tangu mwishoni mwa wiki iliyopita na itarejea nchini siku chache kabla ya kuivaa Nigeria jijini Dar es Salaam Septemba 5 mwaka huu.
9 years ago
Michuzi31 Aug
STARS YAMALIZA KAMBI UTURUKI
![](http://tff.or.tz/images/jumaA.png)
![](http://tff.or.tz/images/starskartepe.png)
10 years ago
Raia Tanzania03 Aug
Stars kuweka kambi Uturuki
TIMU ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) inatarajia kuaondoka nchini Agosti 23 kwenda Uturuki kwa ajili ya kambi ya wiki mbili kujiandaa na mchezo wao wa kufuzu kucheza fainali za mataifa ya Afrika mwaka (Afcon) 2017 nchini Gabon dhidi ya Nigeria.
Stars inatarajia kucheza mchezo wao wa pili wa kufuzu Afcon dhidi ya Nigeria Septemba 5 katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Awali Stars ilicheza na Misri na kufungwa mabao 3-1 ugenini wakiwa chini ya kocha Mholanzi Mart Nooij ambae...
9 years ago
BBCSwahili05 Oct
Ulaya kufadhili kambi za wahamiaji Uturuki
9 years ago
BBCSwahili21 Aug
Taifa stars kupiga kambi Uturuki