Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wakurdi wadai kushambuliwa na Uturuki

Kikosi cha wapiganaji wa Kikurdi kaskazini mwa Syria kimeishtumu Uturuki kwa kuwashambulia wanajeshi wake mara kwa mara Karibu na mpaka.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Uturuki yakana mauaji ya Wakurdi

Serikali ya Uturuki imekanusha madai ya vyama vya wa kurdi kuwa ilihusika katika milipuko hapo jana iliyosababisha vifo vya watu 95

 

10 years ago

BBCSwahili

Uturuki yashambulia kambi za Wakurdi

Serikali ya Uturuki inasema kuwa ndege za kivita zimetekeleza mashambulizi katika kambi za kundi la Kikurdi PKK Kaskazini mwa Iraq na kusini mashariki wa Uturuki.

 

5 years ago

Michuzi

RC MAKONDA AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA UTURUKI PAMOJA NA JOPO LA WAWEKEZAJI KUTOKA NCHINI UTURUKI.


************************************Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda leo February 18 amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Uturuki Nchini Tanzania Mhe. Ali Davulaglu, Balozi wa Tanzania Nchini Uturuki Prof.Elizabeth Kiondo, Mstahiki Meya kutoka Uturuki, Wawekezaji na Wafanyabiashara zaidi ya 40 kutoka Nchini Uturuki waliokuja Kutazama na kuchangamkia fursa za Uwekezaji wa Viwanda jijini Dar es salaam.Katika Mazungumzo hayo RC Makonda ...

 

10 years ago

BBCSwahili

Tumesambaratisha IS,Wakurdi

Serikali ya Kurdi imesema tayari imekwisha sambaratisha kikundi cha wapiganaji wa Islamic State.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi Wakurdi waiteka ngome ya IS

Wanajeshi wa Kikurdi kaskazini mwa Syria wanasema wameingia katika himaya ya Islamic State, na kuiteka ngome ya kijeshi katika mkoa wa Raqqa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Ufaransa kuwahami wakurdi Iraq.

Rais wa Ufaransa Francois Hollande ametangaza kuwa atawahami wakurdi Iraq

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani yawadondoshea wakurdi silaha

Ndege za kijeshi za Marekani zimedondosha silaha kwa wapiganaji wa kikurdi wanaolinda mji wa Kobane kutoka kwa wapiganaji wa Islamic State .

 

10 years ago

BBCSwahili

Wakurdi Iraq wakomboa mpaka Syria

Wanajeshi wa kikurdi Iraq wameripotiwa kukomboa tena mpaka muhimu kuingia nchini Syria kutoka kundi la dola la kiislam Islamic state

 

10 years ago

BBCSwahili

Wakurdi wa Iraq kusaidia wenzao Syria

Inakadiriwa wapiganajiwapatao mia moja na hamsini wa Kikurdi wako njiani kupambana na wanamgambo wa dola ya kiislam huko Syria.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani