Wakurdi wadai kushambuliwa na Uturuki
Kikosi cha wapiganaji wa Kikurdi kaskazini mwa Syria kimeishtumu Uturuki kwa kuwashambulia wanajeshi wake mara kwa mara Karibu na mpaka.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili11 Oct
Uturuki yakana mauaji ya Wakurdi
Serikali ya Uturuki imekanusha madai ya vyama vya wa kurdi kuwa ilihusika katika milipuko hapo jana iliyosababisha vifo vya watu 95
10 years ago
BBCSwahili29 Jul
Uturuki yashambulia kambi za Wakurdi
Serikali ya Uturuki inasema kuwa ndege za kivita zimetekeleza mashambulizi katika kambi za kundi la Kikurdi PKK Kaskazini mwa Iraq na kusini mashariki wa Uturuki.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-17_OkEbd7pg/Xk01mT_E9_I/AAAAAAALeUs/qUDz4OE0TCIf9qejZOB-PV3w63uri1DKQCLcBGAsYHQ/s72-c/index-3.jpg)
RC MAKONDA AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA UTURUKI PAMOJA NA JOPO LA WAWEKEZAJI KUTOKA NCHINI UTURUKI.
![](https://1.bp.blogspot.com/-17_OkEbd7pg/Xk01mT_E9_I/AAAAAAALeUs/qUDz4OE0TCIf9qejZOB-PV3w63uri1DKQCLcBGAsYHQ/s640/index-3.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/b-3.jpg)
************************************Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda leo February 18 amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Uturuki Nchini Tanzania Mhe. Ali Davulaglu, Balozi wa Tanzania Nchini Uturuki Prof.Elizabeth Kiondo, Mstahiki Meya kutoka Uturuki, Wawekezaji na Wafanyabiashara zaidi ya 40 kutoka Nchini Uturuki waliokuja Kutazama na kuchangamkia fursa za Uwekezaji wa Viwanda jijini Dar es salaam.Katika Mazungumzo hayo RC Makonda ...
10 years ago
BBCSwahili27 Jan
Tumesambaratisha IS,Wakurdi
Serikali ya Kurdi imesema tayari imekwisha sambaratisha kikundi cha wapiganaji wa Islamic State.
10 years ago
BBCSwahili23 Jun
Wanajeshi Wakurdi waiteka ngome ya IS
Wanajeshi wa Kikurdi kaskazini mwa Syria wanasema wameingia katika himaya ya Islamic State, na kuiteka ngome ya kijeshi katika mkoa wa Raqqa.
11 years ago
BBCSwahili13 Aug
Ufaransa kuwahami wakurdi Iraq.
Rais wa Ufaransa Francois Hollande ametangaza kuwa atawahami wakurdi Iraq
10 years ago
BBCSwahili20 Oct
Marekani yawadondoshea wakurdi silaha
Ndege za kijeshi za Marekani zimedondosha silaha kwa wapiganaji wa kikurdi wanaolinda mji wa Kobane kutoka kwa wapiganaji wa Islamic State .
10 years ago
BBCSwahili01 Oct
Wakurdi Iraq wakomboa mpaka Syria
Wanajeshi wa kikurdi Iraq wameripotiwa kukomboa tena mpaka muhimu kuingia nchini Syria kutoka kundi la dola la kiislam Islamic state
10 years ago
BBCSwahili29 Oct
Wakurdi wa Iraq kusaidia wenzao Syria
Inakadiriwa wapiganajiwapatao mia moja na hamsini wa Kikurdi wako njiani kupambana na wanamgambo wa dola ya kiislam huko Syria.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania