Madaktari wauawa kwa shambulio Somalia
Madktari raia wa Syria na wa jamii ya kisomali wameuawa kwa kupigwa risasi karibu na mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili27 Dec
Wanajeshi wa Somalia wauawa kwa Bomu
Wanajeshi watano wa Somalia na Afisa wa Jeshi wameuawa kwa mlipuko wa Bomu mjini Mogadishu
5 years ago
BBCSwahili21 Jun
Takribani watu saba wauawa kwa mashabulizi ya mabomu nchini Somalia
Wanamgambo wa Al- shabab wamekuwa wakifanya mashambulizi dhidi ya wanajeshi nchini Somalia.
10 years ago
BBCSwahili06 Apr
Jeshi la Kenya lafanya shambulio Somalia
Jeshi la Kenya limeshambulia maeneo mawili ya jimbo la Gedo nchini Somalia,ambalo ni makao ya wapiganaji wa kundi la Alshabaab
10 years ago
BBCSwahili05 Jan
Shambulio la bomu laua watano, Somalia
Mlipuko mkubwa wa bomu la kutegwa ndani ya gari umetokea karibu na Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mogadishu nchini Somalia.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pHhBdYiNnuKEXeVi9lKVTzLFVDp8qDJljgHvP5eGpSeNp9cT7x1Od2A09Kj0LOfq41Y-e94lYCa-6TAZSYIBLOAKzFfNvuWM/amisom1.jpg?width=650)
AMISOM YAFELISHA SHAMBULIO LA AL-SHABAB, SOMALIA
Askari wa kulinda amani wa Umoja wa Afrika nchini Somalia, AMISOM. Askari wa kulinda amani wa Umoja wa Afrika nchini Somalia, AMISOM wametangaza kuwa, wamefanikiwa kufelisha shambulizi la kigaidi la wanamgambo wa al-Shabab nchini humo. Askali hao wakiwa kwenye oparesheni hiyo. Taarifa iliyotangazwa na Sam Kavuma, mmoja makamanda wa askari hao, imesema kuwa wanamgambpo wa al -Shabab walijaribu kudhibiti kambi za kijeshi za...
10 years ago
BBCSwahili18 May
9 wauawa katika shambulio Marekani
Polisi nchini Marekani wamesema kuwa watu tisa wameuawa katika shambulio lililotekelezwa na watu wenye silaha na pikipiki.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0U8UQjwDEm8VfT71EOYMCMmegY*moSpk4Q4b6PGdkbRgd5eP6mFDxQBYSJD7WcnfN8oX3Cy2nh3RnfbCTTbzFk80QQMfENMJ/2.jpg)
30 WAUAWA KATIKA SHAMBULIO NCHINI KENYA
Daladala zilizochomwa moto wakati wa shambulio hilo la Mpeketoni, Lamu nchini Kenya.
Magari yaliyochomwa moto katika kituo cha polisi cha Mpeketoni. WATU zaidi ya 30 wameuawa, hoteli mbili, kituo cha polisi na kituo cha mafuta…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EWMw8iXl*iVnsuXAYgTh6J62DJ-yt8mp9Uxu4ZiZO7Wbf2dehYvhbrLbCZKYztgRdSjQHI*iCnmrvBx87EJ4NkOk8rJ06hXV/1.jpg?width=650)
TISA WAUAWA KATIKA SHAMBULIO MAREKANI
Eneo ambapo shambulio hilo limefanyika. Migahawa ikiwa imefungwa baada ya tukio hilo kutokea. Polisi akiangalia hali ya usalama katika eneo hilo.…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/5rOKh5yrOt1NYxgYDMB46-X80090lf7SNEPD6lsMcQ6zGU-EAgKzVDh-KjmzXfPvdbsqNXWRThSINWaRKrQzrvL5vP*NCNO2/KARACHI.jpg?width=650)
43 WAUAWA KATIKA SHAMBULIO NCHINI PAKISTAN
WATU zaidi ya 43 wamepoteza maisha huku wengine kadhaa wakijeruhiwa katika shambulio lililofanywa na watu wenye silaha walioshambulia basi huko Karachi, Pakistan. Basi lililoshambuliwa na watu hao lilikuwa limewabeba waumini wa dhehebu la Shia. Polisi wa Karachi wameeleza kuwa washambuliaji wapatao sita wakiwa katika pikipiki walilishambulia basi katika eneo la Safoora Goth kwa risasi na kuua watu hao 43. ...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania