Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watu 20 wafariki harusini Afghanistan

Sherehe moja ya harusi nchini Afghanistan, imeshambuliwa kwa mzinga uliorushwa na roketi na kusababisha mauaji ya watu 20.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi 6 wa US wafariki Afghanistan

Wanajeshi sita wa Marekani wamefariki katika ajali ya ndege Kusini mwa Afghanistan ambayo kiini chake hakijajulikana.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi watano wa Nato wafariki Afghanistan

Watu watano, wakiwemo wanajeshi wawili wa angani wa Uingereza, wamefariki baada ya helikopta ya Nato kuanguka Afghanistan.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi wa US wafariki ajali ya ndege Afghanistan

Wanajeshi sita wa Marekani wamefariki baada ya ndege ya kijeshi ya nchi hiyo aina ya Hercules kuanguka katika uwanja mmoja wa ndege nchini Afghanistan.

 

5 years ago

CCM Blog

WATU 627 WAFARIKI KWA SIKU MOJA NCHINI ITALY KUTOKANA NA CORONA, SASA YATUMIA WANAJESHI KUZUIA WATU KUTOKA MAJUMBANI

ROME, Italia
ITALIA imeamua kuwatumia wanajeshi ili kuongeza nguvu ya kuzuia watu kutoka nje, Jana, Ijumaa Machi 20, 2020, huku maafisa wakisema watu 627 wamefariki  dunia kutokana na ugonjwa wa Corona  katika kipindi cha saa 24.

Idadi hii ya vifo ndiyo kubwa zaidi kutokea ndani ya siku moja duniani tangu mlipuko wa ugonjwa huu utokee nchuni China.

Kupoteza matumaini kwa baadhi ya watu kumeanza kuonekana Kaskazini mwa nchi hiyo hususan kwenye jimbo lililloathirika zaidi la Lombardy ambako kwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu zaidi ya 30 wauawa Afghanistan

Shambulizi la kujitoa mhanga kwenye mji ulio mashariki mwa Afghanistan wa Jalalabad limewaua watu 33 na kuwajeruhiwa wengine 100.

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu 45 wafariki misikitini Yemen

Zaidi ya watu 45 wameuawa na wengine wengi kujeruhiwa, baada ya watu wa kujitolea muhanga kujilipua misikitini nchini Yemen.

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu 40 wafariki ajalini Ufaransa

Watu 40 waliokuwa wakienda kutalii wamefariki baada ya basi lao kugongana na lori katika barabara moja kusini magharibi mwa Ufaransa.

 

10 years ago

Mwananchi

Watu 38 wafariki katika ajali

Kahama/Mbeya. Msiba mwingine mzito umelikumba taifa baada ya watu 38 kupoteza maisha katika matukio mawili tofauti, likiwamo la ajali ya basi dogo aina ya Toyota Hiace iliyoua watu 19 wakati ikifanya safari ya wizi mkoani Mbeya.

 

10 years ago

GPL

WATU 10 WAFARIKI KWA AJALI HANDENI

Muonekano wa eneo la tukio baada ya ajali hiyo. Wananchi wakiwa eneo la tukio. Watu 10 wamefariki dunia kwa ajali iliyohusisha magari matatu katika eneo la Mkata kijiji cha Mbweni wilayani Handeni Mkoani Tanga majira ya saa 5 asubuhi ya leo. Akizungumza na East Africa Radio Kamanda wa kikosi cha usalama barabara mkoa wa Tanga amesema kuwa ajali hiyo imehusisha mabasi mawili ya abiria na gari dogo katika barabara ya Dar...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani