Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watu zaidi ya 30 wauawa Afghanistan

Shambulizi la kujitoa mhanga kwenye mji ulio mashariki mwa Afghanistan wa Jalalabad limewaua watu 33 na kuwajeruhiwa wengine 100.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Zaidi ya watu 40 wauawa Mexico

Takriban watu 43 wameuawa wakati wa ufyatulianaji wa risasi katika jmbo la Michoacan nchini mexico.

 

9 years ago

BBCSwahili

Zaidi ya watu 90 wauawa Myanmar

Idadi ya watu waliokufa kutokana na maporomoko ya udongo katika eneo la Jade nchini myanmar imeongezeka hadi takriban watu 90.

 

10 years ago

BBCSwahili

Zaidi ya watu 60 wauawa Syria

Zaidi ya watu 60 wameuwawa, katika mashambulio kadhaa ya angani yaliyofanywa na majeshi ya serikali ya Syria.

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu 5 zaidi wauawa Afrika Kusini

Watu watano zaidi wameuawa katika mashambulizi ya kibaguzi katika mji wa Durban nchini Africa Kusini.

 

9 years ago

BBCSwahili

Watu zaidi ya 60 wauawa kwa Bomu Iraq

Bomu lililotegwa ndani ya gari limelipuka na kuwauwa zaidi ya watu sitini nchini Iraq,katika jimbo la Mashariki la Diyala

 

9 years ago

GPL

WATU ZAIDI YA 150 WAUAWA KATIKA MASHAMBULIZI PARIS, UFARANSA

Mauaji katika mghahawa wa Rue Bichat, Paris Gari la huduma ya kwanza. Walionusulika katika shambulizi lililofamyika kwenye ukumbi wa Batclan. ...Wakiokolewa. Miili ya marehemu wa mashambulizi hayo. Hali ya sintofahamu mjini paris.…

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi 11 wauawa Afghanistan

Wapiganaji wa Taliban nchini Afghanistan wamedaiwa kuwaua wanajeshi 11 katika jimbo la Herat magharibi mwa taifa hilo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi wauawa Afghanistan

Polisi nchini Afghnaistan wamesema wanajeshi sita wameuawa katika shambulio la bomu mjini Kabul.

 

11 years ago

BBCSwahili

Madaktari 3 wa kigeni wauawa Afghanistan

Mlinzi mmoja nchini Afghanistan amewaua kwa kuwapiga risasi madaktari 3 raia wa Marekani wanaofanya kazi katika hospitali moja mjini Kabul.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani