Watu 40 wafariki ajalini Ufaransa
Watu 40 waliokuwa wakienda kutalii wamefariki baada ya basi lao kugongana na lori katika barabara moja kusini magharibi mwa Ufaransa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/Puisseguin-1.jpg)
WATU 40 WAFARIKI KWA AJALI UFARANSA
Ajali hiyo ilivyotokea. Kikosi maalum cha uokoaji kikifanya kazi yake. Majeruhi wakisaidiwa kupata huduma ya kwanza.…
11 years ago
Mwananchi10 Jun
Sita wafariki ajalini Mbeya
Watu Sita wamekufa na wengine 21 kujeruhiwa baada ya basi walilokuwa wakisafiria la kampuni ya Ndejela Express, lililokuwa linatoka Sumbawanga kwenda Mbeya, kupinduka.
11 years ago
Mwananchi05 May
Padri, katekista wafariki ajalini
Padri wa Kanisa Katoliki Jimbo la Mpanda, Matini Kapufi (42 ) na Katekista wa kanisa hilo wa kijiji cha Mtakuja, Parokia ya Inyonga, Patrick Mwendowasaa (60), wamefariki dunia baada ya gari walilokuwa wakisafiria kupinduka.
10 years ago
Tanzania Daima25 Oct
Watatu wafariki ajalini Pwani
WATU watatu wamefariki dunia na wengine wawili kujeruhiwa baada ya ajali iliyohusisha gari la abiria na lori katika eneo la Pera Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani. Tukio hilo lilitokea usiku...
11 years ago
Mwananchi11 Dec
Saba wafariki, 71 wajeruhiwa ajalini
Watu saba wamefariki dunia na wengine 71 kujeruhiwa kwenye ajali ya iliyohusisha mabasi ya abiria mikoa ya Kilimanjaro na Manyara.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-lNhxptZ_Ipo/VBmKMrGFRhI/AAAAAAAGkF0/OfHYhPBUaOE/s72-c/unnamed%2B(59).jpg)
WAWILI WAFARIKI, WATANO WAJERUHIWA AJALINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-lNhxptZ_Ipo/VBmKMrGFRhI/AAAAAAAGkF0/OfHYhPBUaOE/s1600/unnamed%2B(59).jpg)
WATU wawili wamefariki dunia na wengine watano wamejeruhiwa baada ya magari mawili likiwemo basi dogo la abiria waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso.
Kwa mujibu wa kaimu kamanda wa polisi mkoani Pwani Athuman mwambalaswa alisema kuwa tukio hilo lilihusisha gari aina ya Coaster likitokea kwenye msiba Musoma kwenda Jijini Dar es Salaam na kugongana na lori la mafuta.
Kamanda Mwambalaswa alisema kuwa ajali hiyo ilitokea Septemba 17 mwaka huu majira ya saa 12:15...
11 years ago
Mwananchi22 Jun
Sita wafariki ajalini, 12 wajeruhiwa Dar
Watu sita wamefariki dunia na wengine 12 kujeruhiwa baada ya kutokea ajali iliyohusisha magari matatu, eneo la Lugalo, jijini Dar es Salaam jana.
10 years ago
Mwananchi17 Apr
19 wafariki ajalini mbeya, wawili wajeruhiwa vibaya
Watu 19 wafari katika ajali ya gari eneo la Kiwira Mkoani Mbeya, wawili wajeruhiwa vibayaÂ
11 years ago
Mwananchi22 Apr
Watu 11 wafa ajalini
Watu 10 wamekufa papo hapo na mwingine kupoteza maisha alipokuwa akipelekwa hospitali baada ya basi walilokuwa wakisafiria kupata ajali mkoani Simiyu.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania