Wanajeshi wa US wafariki ajali ya ndege Afghanistan
Wanajeshi sita wa Marekani wamefariki baada ya ndege ya kijeshi ya nchi hiyo aina ya Hercules kuanguka katika uwanja mmoja wa ndege nchini Afghanistan.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili17 Dec
Wanajeshi 6 wa US wafariki Afghanistan
Wanajeshi sita wa Marekani wamefariki katika ajali ya ndege Kusini mwa Afghanistan ambayo kiini chake hakijajulikana.
9 years ago
BBCSwahili12 Oct
Wanajeshi watano wa Nato wafariki Afghanistan
Watu watano, wakiwemo wanajeshi wawili wa angani wa Uingereza, wamefariki baada ya helikopta ya Nato kuanguka Afghanistan.
9 years ago
BBCSwahili21 Nov
Watu 7 wafariki katika ajali ya ndege N Zealand
Polisi wa New Zealand wanasema kuwa watu wote saba walioabiri ndege iloanguka katika kisiwa cha South Island wamefariki.
10 years ago
Vijimambo10 Mar
WATU 8 WAFARIKI KWA AJALI YA NDEGE ARGENTINA
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/03/10/150310045008_argentina_helicopter_crash_624x351_ap.jpg)
Rais wa Ufaransa, Francois Hollande, ameelezea masikitiko yake baada ya vifo vya watu wanane wengi wao raia wa Ufaransa.
Wanne hao wanajumuisha pia wachezaji watatu wasifika nchini humo, walioaga dunia baada ya ndege mbili za Helikopta kugongana angani nchini Argentina.
Wakuu wametaja nyota hao kama bingwa wa nishani ya dhahabu katika uogeleaji kwenye mashindano ya Olimpiki,...
10 years ago
BBCSwahili29 Jun
Wanajeshi 11 wauawa Afghanistan
Wapiganaji wa Taliban nchini Afghanistan wamedaiwa kuwaua wanajeshi 11 katika jimbo la Herat magharibi mwa taifa hilo.
10 years ago
BBCSwahili11 Dec
Wanajeshi wauawa Afghanistan
Polisi nchini Afghnaistan wamesema wanajeshi sita wameuawa katika shambulio la bomu mjini Kabul.
10 years ago
BBCSwahili01 Jan
Watu 20 wafariki harusini Afghanistan
Sherehe moja ya harusi nchini Afghanistan, imeshambuliwa kwa mzinga uliorushwa na roketi na kusababisha mauaji ya watu 20.
11 years ago
BBCSwahili06 Mar
Wanajeshi watano wauawa Afghanistan
Wanajeshi watano wa Afghanistan wameuawa kwa shambulio la anga lililotekelezwa na majeshi ya NATO
9 years ago
BBCSwahili24 Dec
Taliban wakamata wanajeshi - Afghanistan
Kikosi kidogo cha majeshi ya serikali ya Afghanistan kimeripotiwa kushikiliwa katika kambi ya kijeshi kusini mwa nchi hiyo.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania