Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanajeshi wa US wafariki ajali ya ndege Afghanistan

Wanajeshi sita wa Marekani wamefariki baada ya ndege ya kijeshi ya nchi hiyo aina ya Hercules kuanguka katika uwanja mmoja wa ndege nchini Afghanistan.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi 6 wa US wafariki Afghanistan

Wanajeshi sita wa Marekani wamefariki katika ajali ya ndege Kusini mwa Afghanistan ambayo kiini chake hakijajulikana.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi watano wa Nato wafariki Afghanistan

Watu watano, wakiwemo wanajeshi wawili wa angani wa Uingereza, wamefariki baada ya helikopta ya Nato kuanguka Afghanistan.

 

9 years ago

BBCSwahili

Watu 7 wafariki katika ajali ya ndege N Zealand

Polisi wa New Zealand wanasema kuwa watu wote saba walioabiri ndege iloanguka katika kisiwa cha South Island wamefariki.

 

10 years ago

Vijimambo

WATU 8 WAFARIKI KWA AJALI YA NDEGE ARGENTINA

Rais wa Ufaransa, Francois Hollande, ameelezea masikitiko yake baada ya vifo vya watu wanane wengi wao raia wa Ufaransa.

Rais wa Ufaransa, Francois Hollande, ameelezea masikitiko yake baada ya vifo vya watu wanane wengi wao raia wa Ufaransa.

Wanne hao wanajumuisha pia wachezaji watatu wasifika nchini humo, walioaga dunia baada ya ndege mbili za Helikopta kugongana angani nchini Argentina.

Wakuu wametaja nyota hao kama bingwa wa nishani ya dhahabu katika uogeleaji kwenye mashindano ya Olimpiki,...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi 11 wauawa Afghanistan

Wapiganaji wa Taliban nchini Afghanistan wamedaiwa kuwaua wanajeshi 11 katika jimbo la Herat magharibi mwa taifa hilo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi wauawa Afghanistan

Polisi nchini Afghnaistan wamesema wanajeshi sita wameuawa katika shambulio la bomu mjini Kabul.

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu 20 wafariki harusini Afghanistan

Sherehe moja ya harusi nchini Afghanistan, imeshambuliwa kwa mzinga uliorushwa na roketi na kusababisha mauaji ya watu 20.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi watano wauawa Afghanistan

Wanajeshi watano wa Afghanistan wameuawa kwa shambulio la anga lililotekelezwa na majeshi ya NATO

 

9 years ago

BBCSwahili

Taliban wakamata wanajeshi - Afghanistan

Kikosi kidogo cha majeshi ya serikali ya Afghanistan kimeripotiwa kushikiliwa katika kambi ya kijeshi kusini mwa nchi hiyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani