Polisi yaonya vijana wanaotishia amani
JESHI la Polisi nchini limewaonya wafuasi wa vyama vya siasa hasa vijana kuacha tabia ya kufanya vitendo vya uvunjifu wa amani kwa kisingizio cha kucheleweshwa matokeo. Onyo hilo lilitolewa jana jijini Dar es Salaam na Kamishna wa Polisi anayeshughulikia Operesheni na Mafunzo, Paul Chagonja wakati akizungumza na waandishi wa habari.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo19 Sep
UN yaonya vijana na siasa za chuki
UMOJA wa Mataifa (UN) nchini umetahadharisha vijana kuacha kutumiwa katika siasa za chuki na badala yake wawe mabalozi wa amani na wajikite katika kuhubiri amani iliyopo ili iendelee kudumu.
5 years ago
BBCSwahili21 Mar
Coronavirus: Vijana hawana uwezo wa ''kuiepuka', WHO yaonya
11 years ago
Tanzania Daima08 Feb
NEC yaonya polisi Arusha
MWENYEKITI wa Tume ya Uchaguzi (NEC), Jaji Fabian Lubuva, amelitaka Jeshi la Polisi mkoani hapa kutumia busara watakapokuwa wakiimarisha ulinzi wakati wa zoezi la upigaji kura kwenye Kata ya Sombetini...
10 years ago
Habarileo25 Nov
Polisi yaonya wanawake kujichunga na wauaji Dar
KUTOKANA na kushamiri kwa matukio ya wanawake kuuawa na watu wanaodhaniwa ni wapenzi wao wa muda mfupi, Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limewaonya wanawake jijini Dar es Salaam kuwa makini na baadhi ya wanaume wanaowataka kimapenzi na kuwaua kisha kutelekeza miili yao.
10 years ago
Habarileo25 Dec
Polisi yaonya vurugu Krismasi, Mwaka Mpya
POLISI imeonya juu ya vurugu na vitendo vya uhalifu katika kipindi hiki cha sikukuu za Krismasi na Mwaka mpya, ikisema imejipanga kukabiliana na aina yoyote ya uvunjifu wa amani.
11 years ago
Mwananchi22 Sep
Chadema wang’ang’ania maandamano, polisi yaonya
11 years ago
MichuziVIJANA WAASWA KUDUMISHA AMANI
Na...
11 years ago
Tanzania Daima24 May
Vijana 8 mbaroni kwa uvunjifu wa amani
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limewakamata vijana nane waliojihusisha na matukio ya uvunjifu wa amani katika maeneo ya Kigogo, Ilala Boma na Buguruni, huku likiahidi kuendeleza...
10 years ago
Habarileo07 Dec
Sumaye aasa vijana kulinda amani
WAZIRI Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye, amewataka vijana kote nchini kuwa mstari wa mbele kulinda amani, usalama na utulivu wa nchi katika kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 na kukemea siasa za chuki kwani mfumo uliopo ni mfumo wa vyama vingi, hivyo kila mmoja anapaswa kumheshimu mwenzake.