NEC yaonya polisi Arusha
MWENYEKITI wa Tume ya Uchaguzi (NEC), Jaji Fabian Lubuva, amelitaka Jeshi la Polisi mkoani hapa kutumia busara watakapokuwa wakiimarisha ulinzi wakati wa zoezi la upigaji kura kwenye Kata ya Sombetini...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima27 Mar
NEC yaonya vyama Chalinze
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imevionya vyama vya siasa kuacha kutumia lugha za vitisho na matusi katika kampeni za uchaguzi mdogo wa ubunge zinazoendelea katika Jimbo la Chalinze. Akizungumza...
9 years ago
Habarileo03 Oct
NEC yaonya wanaotaka kulinda kura vituoni
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (TUME) imeonya vyama vya siasa, vinavyoshawishi wananchi wabaki katika vituo vya kupigia kura baada ya kupiga kura na kueleza kuwa lengo lao si kwa ajili ya kulinda kura, bali vina agenda ya siri.
9 years ago
StarTV26 Aug
NEC yaonya vyama vya siasa vitakavyokiuka ratiba za kampeni
![Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi,](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2845730/medRes/1101903/-/maxw/600/-/128lqutz/-/kailima.jpg)
Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Kailima Ramadhani
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imevitaka vyama vyote vya siasa vinavyoshiriki Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2015, kuhakikisha vinafuata na kuheshimu ratiba ya uchaguzi waliyojiwekea.Katika taarifa kwa njia ya video iliyotumwa kwa vyombo vya habari, Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Kailima Ramadhani amesema kuwa vyama vyote vilishiriki katika kuandaa ratiba hiyo na kuwa viliiridhia hivyo hawana budi kuhakikisha...
9 years ago
Mwananchi25 Aug
NEC yaonya vyama vya siasa vitakavyokiuka ratiba za kampeni walizojiwekea
9 years ago
Habarileo28 Oct
Polisi yaonya vijana wanaotishia amani
JESHI la Polisi nchini limewaonya wafuasi wa vyama vya siasa hasa vijana kuacha tabia ya kufanya vitendo vya uvunjifu wa amani kwa kisingizio cha kucheleweshwa matokeo. Onyo hilo lilitolewa jana jijini Dar es Salaam na Kamishna wa Polisi anayeshughulikia Operesheni na Mafunzo, Paul Chagonja wakati akizungumza na waandishi wa habari.
10 years ago
Habarileo25 Dec
Polisi yaonya vurugu Krismasi, Mwaka Mpya
POLISI imeonya juu ya vurugu na vitendo vya uhalifu katika kipindi hiki cha sikukuu za Krismasi na Mwaka mpya, ikisema imejipanga kukabiliana na aina yoyote ya uvunjifu wa amani.
10 years ago
Habarileo25 Nov
Polisi yaonya wanawake kujichunga na wauaji Dar
KUTOKANA na kushamiri kwa matukio ya wanawake kuuawa na watu wanaodhaniwa ni wapenzi wao wa muda mfupi, Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limewaonya wanawake jijini Dar es Salaam kuwa makini na baadhi ya wanaume wanaowataka kimapenzi na kuwaua kisha kutelekeza miili yao.
10 years ago
Mwananchi22 Sep
Chadema wang’ang’ania maandamano, polisi yaonya
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wz3pzQLdiZg/XuJN6GkQ-2I/AAAAAAALtdk/Oy1Venwc_ewKM-zBNgDMA_Lh6wQ_9YyswCLcBGAsYHQ/s72-c/26da6cd5-1fd1-4c01-bd8b-17c480d3d3a5.jpg)
JESHI LA POLISI ARUSHA LAANZA UJENZI KITUO KIDOGO CHA POLISI KATA YA KISONGO,ARUMERU KUONDOA KERO KWA WANANCHI
Akikabidhi eneo hilo kwa kuanza kupanda miti, Mkuu wa wilaya hiyo Muro, alisema kituo hicho kitasaidia kuimarisha ulinzi kwa jamii katika eneo hilo baada ya muda mrefu kuwepo matukio ya uhalifu.
Alisema eneo hilo ambalo linakuwa kwa kasi kumekuwepo na...