Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NEC yaonya polisi Arusha

MWENYEKITI wa Tume ya Uchaguzi (NEC), Jaji Fabian Lubuva, amelitaka Jeshi la Polisi mkoani hapa kutumia busara watakapokuwa  wakiimarisha  ulinzi  wakati wa  zoezi la upigaji kura kwenye Kata ya Sombetini...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

NEC yaonya vyama Chalinze

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imevionya vyama vya siasa kuacha kutumia lugha za vitisho na matusi katika kampeni za uchaguzi mdogo wa ubunge zinazoendelea katika Jimbo la Chalinze. Akizungumza...

 

9 years ago

Habarileo

NEC yaonya wanaotaka kulinda kura vituoni

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (TUME) imeonya vyama vya siasa, vinavyoshawishi wananchi wabaki katika vituo vya kupigia kura baada ya kupiga kura na kueleza kuwa lengo lao si kwa ajili ya kulinda kura, bali vina agenda ya siri.

 

9 years ago

StarTV

NEC yaonya vyama vya siasa vitakavyokiuka ratiba za kampeni

Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi,

Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Kailima Ramadhani

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imevitaka vyama vyote vya siasa vinavyoshiriki Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2015, kuhakikisha vinafuata na kuheshimu ratiba ya uchaguzi waliyojiwekea.

Katika taarifa kwa njia ya video iliyotumwa kwa vyombo vya habari, Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Kailima Ramadhani amesema kuwa vyama vyote vilishiriki katika kuandaa ratiba hiyo na kuwa viliiridhia hivyo hawana budi kuhakikisha...

 

9 years ago

Mwananchi

NEC yaonya vyama vya siasa vitakavyokiuka ratiba za kampeni walizojiwekea

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imevitaka vyama vyote vya siasa vinavyoshiriki Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2015, kuhakikisha vinafuata na kuheshimu ratiba ya uchaguzi waliyojiwekea.

 

9 years ago

Habarileo

Polisi yaonya vijana wanaotishia amani

JESHI la Polisi nchini limewaonya wafuasi wa vyama vya siasa hasa vijana kuacha tabia ya kufanya vitendo vya uvunjifu wa amani kwa kisingizio cha kucheleweshwa matokeo. Onyo hilo lilitolewa jana jijini Dar es Salaam na Kamishna wa Polisi anayeshughulikia Operesheni na Mafunzo, Paul Chagonja wakati akizungumza na waandishi wa habari.

 

10 years ago

Habarileo

Polisi yaonya vurugu Krismasi, Mwaka Mpya

Advera BulimbaPOLISI imeonya juu ya vurugu na vitendo vya uhalifu katika kipindi hiki cha sikukuu za Krismasi na Mwaka mpya, ikisema imejipanga kukabiliana na aina yoyote ya uvunjifu wa amani.

 

10 years ago

Habarileo

Polisi yaonya wanawake kujichunga na wauaji Dar

Kamanda wa Polisi, Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman KovaKUTOKANA na kushamiri kwa matukio ya wanawake kuuawa na watu wanaodhaniwa ni wapenzi wao wa muda mfupi, Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limewaonya wanawake jijini Dar es Salaam kuwa makini na baadhi ya wanaume wanaowataka kimapenzi na kuwaua kisha kutelekeza miili yao.

 

10 years ago

Mwananchi

Chadema wang’ang’ania maandamano, polisi yaonya

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesisitiza kufanya maandamano kuanzia leo hadi Ijumaa wiki hii licha ya Polisi kuyapiga marufuku.

 

5 years ago

Michuzi

JESHI LA POLISI ARUSHA LAANZA UJENZI KITUO KIDOGO CHA POLISI KATA YA KISONGO,ARUMERU KUONDOA KERO KWA WANANCHI

JESHI la Polisi mkoani Arusha, litaanza ujenzi wa kituo kidogo cha polisi katika kata ya Kisongo wilayani Arumeru mkoani hapa baada ya jitihada za Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Jerry Muro kuwapa eneo la ujenzi huo ili kuondoa kero kwa wananchi.

Akikabidhi eneo hilo kwa kuanza kupanda miti, Mkuu wa wilaya hiyo Muro, alisema kituo hicho kitasaidia kuimarisha ulinzi kwa jamii katika eneo hilo baada ya muda mrefu kuwepo matukio ya uhalifu.

Alisema eneo hilo ambalo linakuwa kwa kasi kumekuwepo na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani