Jihadharini na matumizi ya Antibiotiki kiholela
Mwenyekiti wa Antibiotic Resistance Partnership (GARP), Profesa Said Aboud kutoka Chuo Kikuu cha Sayansi za Tiba Shirikishi (MUHAS) kushoto akitoa ripoti ripoti ya dunia kuhusu matumizi na usugu wa dawa za Antibiotiki ya mwaka 2015,uliofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii.Katikati ni Mganga Mkuu wa Serikali, Profesa Mohammed Bakarina kulia ni Mfamasia Mkuu wa Serikali Henry Irunde.
Mganga Mkuu wa Serikali, Profesa Mohammed Bakari (kushoto wa pili)...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog10 Jul
Halima Mdee: Jihadharini na Matapeli
Na Mwandishi wetu
Mbunge wa Kawe jijini Dar es Salaam, Halima Mdee (pichani) amewatahadharisha wananchi juu ya utapeli unaofanywa na baadhi ya watu wasiojulikana katika mitandao ya kijamii kwa kutumia jina lake kwa kudai kuwa anatoa mikopo bila riba.
siku za hivi karibuni kumekuwapo na matukio ambayo yamekuwa yakiwakuta baadhi ya viongozi wakiwemo Mbunge wa Kigoma Kaskazini Zitto Kabwe na Mbuge wa Monduli Edward Lowassa.
kwa mujibu wa Mdee ni kuwa wakati muhafaka kwa Jeshi la Polisi...
10 years ago
Michuzi06 Dec
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-XWAi4cecbk4/UxxVCUBcnUI/AAAAAAAAVrY/Bn3UjyDTCpQ/s72-c/1.jpg)
JIHADHARINI NA UTAPELI HUU KUHUSU MIKOPO
![](http://4.bp.blogspot.com/-XWAi4cecbk4/UxxVCUBcnUI/AAAAAAAAVrY/Bn3UjyDTCpQ/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Mf9E6OCDF88/UxxVGDyGGSI/AAAAAAAAVrg/x1zjeTMGpi0/s1600/2.jpg)
Huu ni Ujumbe ulioandikwa katika Ukurasa wa Rafiki yangu Mroki Mroki katika Ukurasa wake wa Facebook ukijaribu Kuwaaminisha watanzania Juu ya Mikopo inayotolewa na Kutumia Mbinu mbalimbali ili kuweza kutapeli watu.
Baada ya...
9 years ago
Habarileo28 Aug
Polisi: Jihadharini na matapeli ajira jeshini
POLISI imetoa tahadhari kwa wananchi kuwa makini na mtandao wa matapeli wanaosadikiwa kujipatia fedha kwa udanganyifu kwamba watoa ajira ndani ya jeshi hilo.
10 years ago
Habarileo10 Dec
‘Jihadharini na wanaotumia injili ya Mungu kama biashara’
KATIBU Mkuu wa Kanisa la EAGT Tanzania, Brown Mwakipesile amewataka waumini kujihadhari na watu wanajidai kuwa watumishi wa Mungu ambao wanaitumia injili kama biashara.
10 years ago
Michuzi21 Dec
msaada tutani: MVUNJA NDOA ZA WATU ANATUTOA RAHA, JIHADHARINI....
10 years ago
Habarileo30 Aug
RC azuia majeshi kutumika kiholela
MKUU wa Mkoa wa Kigoma, Kanali mstaafu Issa Machibya amezuia kutumika kiholela kwa vikosi vya majeshi ya ulinzi na usalama mkoani humo katika shughuli mbalimbali za kijamii hadi atakapotoa ruhusa ya kutumika kwao kutokana kutumika vibaya kwa majeshi hayo.
11 years ago
Mwananchi15 Feb
Zahanati Kinondoni zajengwa kiholela
11 years ago
Mwananchi25 Jul
Wahimizwa kutochimba madini kiholela