Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jihadharini na matumizi ya Antibiotiki kiholela

1213

Mwenyekiti wa Antibiotic Resistance Partnership (GARP), Profesa Said Aboud kutoka Chuo Kikuu cha Sayansi za Tiba Shirikishi (MUHAS) kushoto akitoa ripoti ripoti ya dunia kuhusu matumizi na usugu wa dawa za Antibiotiki ya mwaka 2015,uliofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii.Katikati ni Mganga Mkuu wa Serikali, Profesa Mohammed Bakarina kulia ni Mfamasia Mkuu wa Serikali Henry Irunde.

1412

Mganga Mkuu wa Serikali, Profesa Mohammed Bakari (kushoto wa pili)...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Halima Mdee: Jihadharini na Matapeli

HALIMA

Na Mwandishi wetu

Mbunge wa Kawe jijini Dar es Salaam, Halima Mdee (pichani) amewatahadharisha wananchi juu ya utapeli unaofanywa na baadhi ya watu wasiojulikana katika mitandao ya kijamii kwa kutumia jina lake kwa kudai kuwa anatoa mikopo bila riba.

siku za hivi karibuni kumekuwapo na matukio ambayo yamekuwa yakiwakuta baadhi ya viongozi wakiwemo Mbunge wa Kigoma Kaskazini Zitto Kabwe na Mbuge wa Monduli Edward Lowassa.

kwa mujibu wa Mdee ni kuwa  wakati muhafaka kwa Jeshi la Polisi...

 

10 years ago

Michuzi

11 years ago

Michuzi

JIHADHARINI NA UTAPELI HUU KUHUSU MIKOPO

Na Josephat Lukaza wa Lukaza Blog Nimelazimika Kuandika Ujumbe huu kwaajili ya kuutarifu umma wa watanzania mara baada ya kupokea Ujumbe mfupi wa Sms kutoka Kwa rafiki yangu Mroki Mroki juu ya Kuingiliwa kwa akaunti ya Facebook na kuandika Ujumbe wa Kitapeli.
Huu ni Ujumbe ulioandikwa katika Ukurasa wa Rafiki yangu Mroki Mroki katika Ukurasa wake wa Facebook ukijaribu Kuwaaminisha watanzania Juu ya Mikopo inayotolewa na Kutumia Mbinu mbalimbali ili kuweza kutapeli watu.
Baada ya...

 

9 years ago

Habarileo

Polisi: Jihadharini na matapeli ajira jeshini

POLISI imetoa tahadhari kwa wananchi kuwa makini na mtandao wa matapeli wanaosadikiwa kujipatia fedha kwa udanganyifu kwamba watoa ajira ndani ya jeshi hilo.

 

10 years ago

Habarileo

‘Jihadharini na wanaotumia injili ya Mungu kama biashara’

KATIBU Mkuu wa Kanisa la EAGT Tanzania, Brown Mwakipesile amewataka waumini kujihadhari na watu wanajidai kuwa watumishi wa Mungu ambao wanaitumia injili kama biashara.

 

10 years ago

Michuzi

msaada tutani: MVUNJA NDOA ZA WATU ANATUTOA RAHA, JIHADHARINI....

Kaka michuzi habari za jumapili. Pole na hongera kwa kazi nzuri unayofanya. kaka mimi ninaomba unisaidie kuweka hili jambo hadharani. Kuna mtu mwenye email adress yakimusi200@outlook.com. huyu mtu amekuwa akituma email kwa watu hasa walioko kwenye ndoa . anachofanya yeye anahack email za watu anaowataka na kuanza kuwatumia email kuwaambia kuwa wenza wao wanacheat. Nashindwa kuelewa yeye lengo lake linakuwaga ni nini. nikupe kisa kimoja. mimi na mdogo wangu na mkewe tuna kampuni yetu na...

 

10 years ago

Habarileo

RC azuia majeshi kutumika kiholela

MKUU wa Mkoa wa Kigoma, Kanali mstaafu Issa Machibya amezuia kutumika kiholela kwa vikosi vya majeshi ya ulinzi na usalama mkoani humo katika shughuli mbalimbali za kijamii hadi atakapotoa ruhusa ya kutumika kwao kutokana kutumika vibaya kwa majeshi hayo.

 

11 years ago

Mwananchi

Zahanati Kinondoni zajengwa kiholela

Tathmini ya huduma za afya katika Zahanati na Hospitali za Manispaa ya Kinondoni inaonyesha kuwa, kutokuwapo na mawasiliano miongoni mwa mamlaka za Serikali kumechangia kutokea kwa hasara ambazo zingeweza kuepukika.

 

11 years ago

Mwananchi

Wahimizwa kutochimba madini kiholela

Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Dk Christine Ishengoma amewataka wachimbaji wadogo wa madini kufuata njia za kitaalamu katika uchimbaji ili kuepuka maafa migodini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani