Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Zahanati Kinondoni zajengwa kiholela

Tathmini ya huduma za afya katika Zahanati na Hospitali za Manispaa ya Kinondoni inaonyesha kuwa, kutokuwapo na mawasiliano miongoni mwa mamlaka za Serikali kumechangia kutokea kwa hasara ambazo zingeweza kuepukika.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Uuzaji Ardhi Kiholela  Serikali  ya Wilaya  Kinondoni yapiga marufuku  

Serikali imepiga marufuku kuuza maeneo katika kata tatu zilizopo Manispaa ya Kinondoni jijini Dar es Salaam kutokana na kukithiri kwa migogoro ya ardhi.

Kata hizo ni Mabwepande, Wazo na Bunju zenye mitaa saba ambayo ni Boko, Mji mpya, Mbopo, Kihonzile, Bunju B, Mabwepande na Nyakasange.

 Kauli hiyo ilitolewa  Dar es Salaam , Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda wakati alipokutana na viongozi wa kamati ya ardhi kwa lengo la  kutoa maazimio yao kuhusu utatuzi wa migogoro ya ardhi ndani ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Maktaba 35 zajengwa Bagamoyo, Turiani

Taasisi ya Room to Read imejenga maktaba 35 kwenye shule za msingi za wilaya za Bagamoyo na Turiani kwa gharama ya Sh700 milioni ili kuwawezesha wanafunzi kujua kusoma, kuandika na kuhesabu.

 

10 years ago

Habarileo

Nyumba za walimu zajengwa kwa bilioni 14/-

Kassim MajaliwaSERIKALI imetoa kupitia Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) na Sekondari (MMES) Sh bilioni 13.9 kwa ajili ya ujenzi wa nyumba za walimu nchini kati ya mwaka 2009 hadi mwaka 2013.

 

9 years ago

Michuzi

KILOMETA 6,276 ZA BARABARA ZAJENGWA NCHINI KWA MIAKA 10

Ujenzi wa barabara ya Iringa-Dodoma umekamilika kwa asilimia 95, bado maeneo machache tu likiwemo hili la Mlima Nyang'oro ambapo Wachina wameuchonga ili kupunguza kona katika umbali wa kilometa 15. Wakati wakandarasi walipokuwa wanajenga daraja hili katika eneo la Miangalua kwenye barabara ya Tunduma-Sumbawanga mwaka 2011. Barabara hiyo sasa imekamilika.Barabara ya Mwanza-Musoma iko katika hali nzuri. Ujenzi wa barabara ukiendelea katika baadhi ya miradi nchini.
BOFYA HAPA KUSOMA ZAIDI

 

9 years ago

GPL

KILOMETA 6,276 ZA BARABARA ZAJENGWA NCHINI KWA MIAKA 10‏

Barabara ya Mwanza-Musoma iko katika hali nzuri. …

 

9 years ago

Dewji Blog

Jihadharini na matumizi ya Antibiotiki kiholela

1213

Mwenyekiti wa Antibiotic Resistance Partnership (GARP), Profesa Said Aboud kutoka Chuo Kikuu cha Sayansi za Tiba Shirikishi (MUHAS) kushoto akitoa ripoti ripoti ya dunia kuhusu matumizi na usugu wa dawa za Antibiotiki ya mwaka 2015,uliofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii.Katikati ni Mganga Mkuu wa Serikali, Profesa Mohammed Bakarina kulia ni Mfamasia Mkuu wa Serikali Henry Irunde.

1412

Mganga Mkuu wa Serikali, Profesa Mohammed Bakari (kushoto wa pili)...

 

10 years ago

Habarileo

RC azuia majeshi kutumika kiholela

MKUU wa Mkoa wa Kigoma, Kanali mstaafu Issa Machibya amezuia kutumika kiholela kwa vikosi vya majeshi ya ulinzi na usalama mkoani humo katika shughuli mbalimbali za kijamii hadi atakapotoa ruhusa ya kutumika kwao kutokana kutumika vibaya kwa majeshi hayo.

 

11 years ago

Mwananchi

Wahimizwa kutochimba madini kiholela

Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Dk Christine Ishengoma amewataka wachimbaji wadogo wa madini kufuata njia za kitaalamu katika uchimbaji ili kuepuka maafa migodini.

 

10 years ago

Tanzania Daima

TAHLISO yalia ada kupanda kiholela

WANAFUNZI wa elimu ya juu nchini, wametakiwa kutokulipa ongezeko la ada mpya ambayo baadhi ya vyuo vikuu vimekuwa vikipandisha kiholela na kupuuza tamko la Tume ya Vyuo Vikuu (TCU). Akizungumza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani