Maktaba 35 zajengwa Bagamoyo, Turiani
Taasisi ya Room to Read imejenga maktaba 35 kwenye shule za msingi za wilaya za Bagamoyo na Turiani kwa gharama ya Sh700 milioni ili kuwawezesha wanafunzi kujua kusoma, kuandika na kuhesabu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-nWEOiZfbdGc/U5Vc0JU2Q7I/AAAAAAAFpHA/UBz5J8-lleE/s72-c/New+Picture+(1).png)
SHULE ZA BAGAMOYO KUNUFAIKA NA MAKTABA INAYO TEMBEA
![](http://2.bp.blogspot.com/-nWEOiZfbdGc/U5Vc0JU2Q7I/AAAAAAAFpHA/UBz5J8-lleE/s1600/New+Picture+(1).png)
![](http://3.bp.blogspot.com/--eGjM8g__Rg/U5VeQi3lHVI/AAAAAAAFpHM/vETttpVdEIA/s1600/New+Picture+(2).png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-CVf-rG7es0w/U5VeTrR4PnI/AAAAAAAFpHU/6KJHAKAA9Sk/s1600/New+Picture+(3).png)
11 years ago
Tanzania Daima23 Jun
NMB yazindua tawi Turiani
MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera, amezindua jengo jipya la tawi jipya la NMB Turiani katika wilaya ya Mvomero, mkoani Morogoro. Uzinduzi huo ulifanyika mwishoni mwa wiki ambapo zaidi...
10 years ago
Mtanzania05 Jun
Fedha za barabara ya Turiani, Mikumi zasakwa
SERIKALI imesema bado inatafuta fedha kwa ajili ya ujenzi wa barabara ya Turiani hadi Mikumi, katika sehemu ya Ulaya hadi Mikumi yenye urefu wa kilomita 43.7.
Akijibu swali bungeni jana, Naibu Waziri wa Ujenzi, Gerson Lwenge, alisema ujenzi wa barabara ya Turiani hadi Mikumi umegawanywa katika awamu nne.
Alisema sehemu ya kwanza ni kutoka sehemu ya Magole hadi Turiani, yenye urefu wa kilomita 45 ambapo sehemu hiyo imeshakamilika kwa asilimia 69.
“Sehemu ya pili ni kutoka Dumila hadi Rudewa...
11 years ago
Mwananchi15 Feb
Zahanati Kinondoni zajengwa kiholela
10 years ago
Habarileo05 Jun
Nyumba za walimu zajengwa kwa bilioni 14/-
SERIKALI imetoa kupitia Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) na Sekondari (MMES) Sh bilioni 13.9 kwa ajili ya ujenzi wa nyumba za walimu nchini kati ya mwaka 2009 hadi mwaka 2013.
10 years ago
MichuziRais Kikwete azindindua mradi wa ujenzi wa Barabara ya Magole-Turiani —Mziha
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ci7ozlN95Po/VdmCVnxo0uI/AAAAAAAAJU8/9rqHuhR1e9E/s72-c/Iringa%2BNyang%2527oro.jpg)
KILOMETA 6,276 ZA BARABARA ZAJENGWA NCHINI KWA MIAKA 10
![](http://2.bp.blogspot.com/-ci7ozlN95Po/VdmCVnxo0uI/AAAAAAAAJU8/9rqHuhR1e9E/s640/Iringa%2BNyang%2527oro.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-taSoAqdVHAQ/Vdl7WvLinGI/AAAAAAAAJUc/1NAxd0hwGcQ/s640/20150516_082254.jpg)
BOFYA HAPA KUSOMA ZAIDI
9 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-taSoAqdVHAQ/Vdl7WvLinGI/AAAAAAAAJUc/1NAxd0hwGcQ/s640/20150516_082254.jpg?width=650)
KILOMETA 6,276 ZA BARABARA ZAJENGWA NCHINI KWA MIAKA 10
10 years ago
MichuziMashindano ya Bagamoyo Historical Marathon 2015 yazinduliwa mjini Bagamoyo leo