Polisi: Jihadharini na matapeli ajira jeshini
POLISI imetoa tahadhari kwa wananchi kuwa makini na mtandao wa matapeli wanaosadikiwa kujipatia fedha kwa udanganyifu kwamba watoa ajira ndani ya jeshi hilo.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog10 Jul
Halima Mdee: Jihadharini na Matapeli
Na Mwandishi wetu
Mbunge wa Kawe jijini Dar es Salaam, Halima Mdee (pichani) amewatahadharisha wananchi juu ya utapeli unaofanywa na baadhi ya watu wasiojulikana katika mitandao ya kijamii kwa kutumia jina lake kwa kudai kuwa anatoa mikopo bila riba.
siku za hivi karibuni kumekuwapo na matukio ambayo yamekuwa yakiwakuta baadhi ya viongozi wakiwemo Mbunge wa Kigoma Kaskazini Zitto Kabwe na Mbuge wa Monduli Edward Lowassa.
kwa mujibu wa Mdee ni kuwa wakati muhafaka kwa Jeshi la Polisi...
10 years ago
Michuzi24 Mar
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-eCmJZoPDnbo/U7-YNzFsPvI/AAAAAAAF03g/AgxDw6gD2LU/s72-c/unnamed.jpg)
Utapeli wachukua sura mpya Iringa, mtandao wa waganga wa kienyeji matapeli wawatapeli wenzao 60 kwa kujifanya maofisa wa polisi
![](http://4.bp.blogspot.com/-eCmJZoPDnbo/U7-YNzFsPvI/AAAAAAAF03g/AgxDw6gD2LU/s1600/unnamed.jpg)
UTAPELI sasa wachukua sura mpya mkoani Iringa badaa ya baadhi ya waganga wa tiba asilia (Sangoma) kugeuziana kibao wenyewe kwa wenyewe kwa kuanza kufanyiana utapeli wa kutisha ikiwa ni pamoja na kujifanya maofisa wa polisi na kuwatapeli fedha wenzao zaidi ya 60.
Imedaiwa kuwa waganga hao matapeli wana mtandao wao na wamekuwa wakiwatumia askari wasio na maadili ya jeshi la polisi kwa kwenda kuwatisha waganga wachanga kwa madai kuwa ...
11 years ago
Habarileo27 Apr
Wanachuo Hombolo waomba ajira Polisi
WANACHUO 600 wa Chuo cha Serikali za Mitaa cha Hombolo, Dodoma waliopata mafunzo ya Polisi Jamii na Ulinzi Shirikishi, wameliomba Jeshi la Polisi nchini kuangalia namna ya kuajiri wahitimu kutoka chuo hicho katika nafasi mbalimbali.
11 years ago
Habarileo27 Jun
Mbunge: Kuna ubaguzi ajira Polisi
MBUNGE wa Ileje, Aliko Kibona (CCM), amelalamikia alichoita ubaguzi unaofanyika katika utaratibu wa kuajiri Polisi, ambao hupata ajira ya kudumu baada ya kutumikia jeshi kwa miaka 12.
10 years ago
Habarileo20 Jun
Vijana wahamasishwa kuchangamkia ajira Polisi
VIJANA waliopitia Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) na Watanzania wengine wenye sifa, wamehamasishwa kuchangamkia nafasi 3,000 zilizotangazwa na Jeshi la Polisi ambalo liko katika mchakato wa kuongeza idadi ya askari katika kukidhi mahitaji ya ulinzi na usalama wa wananchi.
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-vYkTHfBtPaI/Vd9UkjbXllI/AAAAAAAH0ec/SevxtmdMNhk/s72-c/p.png)
TAHADHALI YA UTAPELI KATIKA AJIRA YA POLISI
![](http://1.bp.blogspot.com/-vYkTHfBtPaI/Vd9UkjbXllI/AAAAAAAH0ec/SevxtmdMNhk/s1600/p.png)
11 years ago
Mwananchi20 Mar
Ajira Jeshi la Polisi zisitolewe kienyeji
10 years ago
Habarileo15 Aug
‘Hakuna mchakato ajira jeshi la Polisi Z’bar’
KAMISHNA wa Jeshi la Polisi Zanzibar, Hamdan Omar Makame ametoa tahadhari kwa wananchi kwamba hakuna mchakato wa ajira katika Jeshi la Polisi kwa upande wa Zanzibar na kuwataka watu kujiepusha na utapeli huo.