‘Hakuna mchakato ajira jeshi la Polisi Z’bar’
KAMISHNA wa Jeshi la Polisi Zanzibar, Hamdan Omar Makame ametoa tahadhari kwa wananchi kwamba hakuna mchakato wa ajira katika Jeshi la Polisi kwa upande wa Zanzibar na kuwataka watu kujiepusha na utapeli huo.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi20 Mar
Ajira Jeshi la Polisi zisitolewe kienyeji
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/--87KuC9ns7g/VfPRhAq_AhI/AAAAAAAH4JQ/hn_wvHAGBaU/s72-c/polisi.jpg)
JESHI LA POLISI LAHIMIZA AMANI NA MSHIKAMANO KATIKA MCHAKATO WA UCHAGUZI MKUU WA 25.10.2015
![](http://3.bp.blogspot.com/--87KuC9ns7g/VfPRhAq_AhI/AAAAAAAH4JQ/hn_wvHAGBaU/s200/polisi.jpg)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
JESHI LA POLISI KANDA MAALUM DAR ES SALAAM LAHIMIZA AMANI NA MSHIKAMANO KATIKA MCHAKATO WA UCHAGUZI MKUU WA 25.10.2015 Kamishna wa Polisi Kanda Maalum ya Dar Es Salaam Suleiman Kova amewakumbusha watanzania hususani wananchi wanaoishi jijini Dar es Salaam kukumbuka wajibu wao wa kudumisha amani wakati wote wa mchakato wa uchaguzi mkuu.
mchakato huo ni pamoja na wakati wa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uErcoZ1KdnJKj6GYQvxxOszZzXbZARbmjXLHH3*Zg-BF3tE6xMt8MM3VOD-Hp03NmsUgpeyqJeJ-jcg5M4ALyMbpBeGW5PII/images.jpg)
AJIRA: UTARATIBU WA KUJIUNGA NA JESHI LA POLISI WAHITIMU KIDATO CHA SITA 2014
11 years ago
Michuzi14 May
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-1IakUtC7aAc/VdOesSMNIuI/AAAAAAAHyD0/Ao_K4d4xP_o/s72-c/aaa.png)
TAARIFA YA JESHI LA POLISI MKOA WA MBEYA KWA VYOMBO VYA HABARI TAREHE 18.08.2015. KUFANYA KAZI YA ULINZI NA USALAMA ILIYOKASIMIWA KWA JESHI LA POLISI.
![](http://4.bp.blogspot.com/-1IakUtC7aAc/VdOesSMNIuI/AAAAAAAHyD0/Ao_K4d4xP_o/s640/aaa.png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-E_TqgsZUVxA/VdOd8pH2pxI/AAAAAAAHyDo/ZHeA-B7qXco/s640/unnamed%2B%252841%2529.jpg)
KATIKA MSAFARA WAKE KUTOKA UWANJA WA NDEGE [SONGWE] KULIONEKANA GARI MOJA (PICHANI) AINA YA LAND CRUISER – PICK UP YENYE RANGI NYEUSI NA NDANI YAKE LILIKUWA LIMEBEBA VIJANA AMBAO WALIKUWA WAMEVAA MAVAZI MEUSI, KOFIA – BERETI NYEUSI NA MIWANI...
10 years ago
Mtanzania09 Oct
Dk. Shein: Z’bar ilishirikishwa mchakato wa Katiba
![Rais wa Zanzibar na Mwenyekitki wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/09/Dr.-Ali-Mohamed-Shein.jpg)
Rais wa Zanzibar na Mwenyekitki wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein
NA GRACE SHITUNDU, DAR ES SALAAM
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein, amesema tangu kuanza kwa mchakato wa kuandika Katiba mpya, uongozi wa visiwa hivyo ulishirikishwa kila hatua.
Akizungumza mjini Dodoma jana, Dk. Shein alisema pia kupatikana kwa Katiba hiyo inayopendekezwa kumesaidia kumaliza kero zote za Muungano zilizokuwapo.
“Matukio yote ambayo yalikuwa...
10 years ago
Habarileo22 Jun
Mchakato ajira sasa kuwa kielektroniki
SERIKALI imesema ifikapo Juni Mosi mwaka huu itaanza kutumia rasmi mfumo wa kielektroniki katika mchakato wa kuajiri watumishi wa umma.
10 years ago
Mwananchi23 Jun
Hakuna ajira au vijana hawaajiriki?
11 years ago
Mwananchi15 May
Vijana tujifunze ujasiriamali ajira hakuna