Hakuna ajira au vijana hawaajiriki?
Ajira kwa vijana ni hoja kubwa katika nchi yetu tena imeshika kasi hivi karibuni kutokana kuanza kwa harakati za uchaguzi mkuu. Kila mgombea anajaribu kuwaaminisha Watanzania kuwa ajira ni tatizo kubwa kwa vijana na yeye atalipatia ufumbuzi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi15 May
Vijana tujifunze ujasiriamali ajira hakuna
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-xfwMy2zP1p8/VBrXSMW8EzI/AAAAAAABCtA/r6rsf9gxZdI/s72-c/IMG_8858.jpg)
WAKALA WA AJIRA TANZANIA WAELEZA MIKAKATI YAO YA KUWASAIDIA VIJANA WANAOKUBWA NA JANGA LA KUKOSA AJIRA
![](http://4.bp.blogspot.com/-xfwMy2zP1p8/VBrXSMW8EzI/AAAAAAABCtA/r6rsf9gxZdI/s1600/IMG_8858.jpg)
10 years ago
MichuziVIJANA WAFURIKA BANDA LA TBL MAONESHO YA AJIRA KWA VIJANA DAR
11 years ago
Bongo512 Aug
Siku ya Vijana Duniani: ‘Vijana na Afya ya Akili’, Tusipokabiliana na ukosefu wa ajira na kupewa nguvu ya maamuzi, hatutaweza
10 years ago
Habarileo15 Aug
‘Hakuna mchakato ajira jeshi la Polisi Z’bar’
KAMISHNA wa Jeshi la Polisi Zanzibar, Hamdan Omar Makame ametoa tahadhari kwa wananchi kwamba hakuna mchakato wa ajira katika Jeshi la Polisi kwa upande wa Zanzibar na kuwataka watu kujiepusha na utapeli huo.
11 years ago
Tanzania Daima15 May
Uhusiano wa mwajiri, mfanyakazi endapo hakuna mkataba wa ajira — 2
WIKI iliyopita nilisema kwamba ili kuhakikisha mambo ya msingi yanawekwa wazi, Sheria ya Ajira na Uhusiano Kazini inamtaka mwajiri kumpa mfanyakazi maelezo ya ajira yake kwa maandishi baada ya siku...
11 years ago
Tanzania Daima01 May
Uhusiano wa mwajiri, mfanyakazi endapo hakuna mkataba wa ajira
NGUZO na msingi wa uhusiano wa kiajira kati ya mfanyakazi na mwajiri ni mkataba wa ajira. Mkataba wa ajira unaweza kuwa wa mdomo au wa maandishi. Ili kuhakikisha mambo ya...
11 years ago
Tanzania Daima13 Jul
Hakuna tatizo la ajira nchini bali fikira bila tafakuri
KWA sasa kilio kilichotanda nchini ni cha ukosefu wa ajira. Vijana wengi, hasa wanaomaliza elimu ya juu katika vyuo mbalimbali, wanalia na wanachokiita ukosefu wa ajira. Wao wanataka wakimaliza masomo...
11 years ago
Habarileo31 Jul
‘Wahitimu vyuo vikuu hawaajiriki’
UBORA hafifu wa wahitimu wa vyuo vikuu kiasi cha kusababisha wengine kutoajirika, vimeigusa serikali na sasa inatarajia kuja na mpango wa kukabili hali hiyo.